Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Pascal Mayalla nakusalimu.
Nimekuwa msomaji na mfuatiliaji mzuri sana wa makala zako ulizozibandika jina la "Kwa Maslahi ya Taifa".
Kupitia makala hizi nimekuwa nikijifunza vitu mbalimbali na bingo sana.
Kikubwa zaidi nilichojifunza, hizi makala zipo kwa ajili ya kuwaponda wapinzani na kuwasifia watawala.
Yakija mambo halisi yanayogusa maisha ya watu, msukuma wewe umekuwa ukijiweka kando.
Kupanda kwa bei ya mafuta ya kula, unga, mchele na mahitaji mbalimbali kwako inaonekana kama sio maslahi kwa taifa.
Kwako taifa ni wakubwa walioshika nafasi za uteuzi na sio hawa watu zaidi ya million 60 wanaotaabika na ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, maji safi na salama na huduma za kiafya.
Tunaomba uchepushe jicho lako, litoke kwenye siasa na lilenge kuripoti kero zinazoiathiri jamii.
Nimekuwa msomaji na mfuatiliaji mzuri sana wa makala zako ulizozibandika jina la "Kwa Maslahi ya Taifa".
Kupitia makala hizi nimekuwa nikijifunza vitu mbalimbali na bingo sana.
Kikubwa zaidi nilichojifunza, hizi makala zipo kwa ajili ya kuwaponda wapinzani na kuwasifia watawala.
Yakija mambo halisi yanayogusa maisha ya watu, msukuma wewe umekuwa ukijiweka kando.
Kupanda kwa bei ya mafuta ya kula, unga, mchele na mahitaji mbalimbali kwako inaonekana kama sio maslahi kwa taifa.
Kwako taifa ni wakubwa walioshika nafasi za uteuzi na sio hawa watu zaidi ya million 60 wanaotaabika na ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, maji safi na salama na huduma za kiafya.
Tunaomba uchepushe jicho lako, litoke kwenye siasa na lilenge kuripoti kero zinazoiathiri jamii.