Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
wameondoa na TBCMimi nina dish la dstv star tv walishaiondoa,ilipaswa utuwekee live.
Usiwasingizie kuhusu Tbc1, la msingi ulichosema warudishe local channelswameondoa na TBC
Waturudishie local channels dstv maana inatakiwa kufunga dish zingine kupata habari za ndani
Unapokataza kosa na wewe jitahidi usilifanye.anayebwabwaja mama yako. Matusi ya nini
Sijui kama niko sahihi lakini nimetoka salimia familia narudi kituo cha kazi ,airtime DSTV nimekuta imeisha ,kawaida TBC inakua hewani na ile Dish Tv ,but kwa sasa ni dish channel tu no TBC.TBC wameondoa lini.?
King'amuzi changu hakijakata hivyo tbc ipo.Sijui kama niko sahihi lakini nimetoka salimia familia narudi kituo cha kazi ,airtime DSTV nimekuta imeisha ,kawaida TBC inakua hewani na ile Dish Tv ,but kwa sasa ni dish channel tu no TBC.
Normally huwa sipendi matusi. Akitukana analipwa mshahara wa dhambi ambao ni mautiUnapokataza kosa na wewe jitahidi usilifanye.
Ni kweliHata yeye sehemu nyingi anazokuwepo mara nyingi amekuwa akiipa credit JF, kitu ambacho si Watanzania wengi wenye ujasiri wa kuingolea JF hadharani japo ni member humu.
Du kumbe ni mama?happy mother's day sikukuambiaMimi mama yako ujue nina wivu wa kike
Nguli nani? Pascal? Kweli nchi hii ya kishenzi in terms of education, na Pascal ni nguli? Kwa vigezo labda vya CCM