Mimi mama yako ujue nina wivu wa kike
Mimi mama yako ujue nina wivu wa kike
Mkuu kama una msongo jifungie chooni utapata nafuu!subiri level yako
nitajifungias na huyo aliyekuzaa chooni ujueMkuu kama una msongo jifungie chooni utapata nafuu!
Polepole Ndugu yangu...Acha kusema 'nchi ya kishenzi'....you are not being fair...Paschal Mayala is a knowledgeable person ..unaweza kuwa humpendi lakini Mayala Yuko vizuri kwa mambo mengi mno...binafsi huwa ninamu-admire...Hana elimu kubwa Sana ingawa nadhani ana digrii lakini anajua mambo mengi...ni nguli kwa kiwango chake na hata Cha baadhi yetu....wewe unawatambua akina Nani hapa kuwa ni nguli? Kuwa nguli wa uchambuzi inahitaji uwe mfuatiliaji wa issues mbalimbali na somehow to be objective in your analysis..kwangu Mimi Mayalla anakidhi baadhi ya vigezo..
Perfect, this is an objective conclusion! Huyu huko nyuma alikuwa anajaribu, leo kwa Jiwe anatumia std za CCMUshauri kwako Pascal achana na Jiwe kwa sasa, ungana na Dotto urudie ile enzi yako.
Haya ushajifungia nae tufanye ushampakua pia lkn akitoka unatakiwa kuendelea kukaa chooni upone msongo!nitajifungias na huyo aliyekuzaa chooni ujue
Nguli nani? Pascal? Kweli nchi hii ya kishenzi in terms of education, na Pascal ni nguli? Kwa vigezo labda vya CCM
Imekuwaje mkuuNimefurahi sana kumuona Dotto Bulendu, huyo ni mtangazaji niliyemiss kwa kutokuwepo kwenye vipindi vya Star TV. Nimpongeze hata Paskali kwa kumshawishi Dotto aendelee kuwepo kwenye utangazaji. Huyo Doto ni mwanahabari anayefahamu vyema kazi ya uandishi wa habari na anaifanya bila hofu wala kujipendekeza. Hata Paskali alikuwa muandishi mzuri, kabla ya awamu hii kuingia akageuka muabudu sanamu, msaka chochote, na anayehofia kuisema ukweli, aidha kwa hofu, kusaka maslahi binafsi au vyote kwa pamoja. Udhaifu huu wa Paskali sikuwahi kuuona kwa Dotto Bulendu.
Acha tabia za kike pashkuna weweNguli nani? Pascal? Kweli nchi hii ya kishenzi in terms of education, na Pascal ni nguli? Kwa vigezo labda vya CCM
Ni wivu tu wakikeKama hauko interested si usiangalie tu mzee hayo mambo mengine ya nini
Mnahangaika kumjibu huyu taahira?Okey, ukimtoa kabisa Mayala kwenye wandishi Bora 10 nchini, hiyo idadi itakamilika bila ya yeye kuwepo??, Ni vizuri kuwa akipatikana mtu ambaye Yuko na uwezo na hata kama ni wewe ktk eneo lako ni vyema tukakukubali maana kila mtu Yuko na kipaji chake,
Paschal Mayalla ni NGULI tangu zama! Wewe umezaliwa juzi?Paskali Njaa amekua nguli siku hizi!?
Mwandishi na mchambuzi Nguli na mdau mhimu wa JF Ndugu yetu Pascal Mayalla yupo ndani star tv kwenye kipindi cha jicho letu ndani ya habari kikiongozwa na Ndugu Dotto Bulendo.
Karibu tumsikilize akichambua kuhusu gonjwa hatari la Corona jinsi tunavyolichulia na jinsi tunavyopambana nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha chuki za namna hii. Kama hupendezwi na Paschal Mayalla, better you ignore him. Vinginevyo utajikuta unaumiza nafsi yako bila sababu za msingi.Kwa level yako sawa, not me! Wewe unamuona nguli, kwa vile thinking level yako na yake ni sawa!