Pascal Mayalla kutoka kuwa Mwandishi Nguli hadi Mtangazaji wa kawaida East Africa Radio inamaanisha nini katika Tasnia?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,734
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi.

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu.
Usimcheke mwezio anayepitia magumu maishani.
Na maisha si mteremko muda wote, kuna kupanda na kushuka.
Mshukuru Mungu bado una afya na nguvu.
Magwiji wa vyombo vya habari kama Reginal Mengi wako wapi?
 
Alipotoka kuhojiwa na kamati ya Ndugai sijui aliambiwa nini baadae alirudi na mapambio ya kuabudu kusifu akadondokea kwa wajumbe sijui Kijiji gani huko hapo ndio chanzo chake cha kupotea angeachana na uandishi wa habari za kiuchunguzi kile kipindi kuliko kuungana na madharimu...
 
Mie toka aseme amegombea ubunge sijui wapi nikamuweka dustbin mapema sana..simpendi tena!ingawa najua kila mtu ana uhuru wa kuchagua apendacho ila tulipofikia ilikua hapana!
Kiukweli, kuna reputation Pasko aliipoteza miaka michache hapa nyuma.

And, ali disappoint watu wengi sana walioamini katika weledi wake, na namna alikua among very genuine and unbiased journalists in the country.

Kama kuna journalists walijua kusema hii ni nyeusi and full stop, basi ni Pasko.

Hata hivyo, simlaumu, I really feel for him.

Najua kukuru kakara amezipitia katika miaka 5 ya hayati, haikua rahisi kwake.

Ni kama alipoteza kila kitu alihangaikia katika career yake yote.

Pengine kuna mambo angeweza kuya handle better zaidi?

Jibu ni Yes or No, ingetegemea zaidi motive yake behind kufanya journalism ilikua ipi, kujipatia kipato kwanza then passion ya kazi later or the vice versa.

All in all, he still got my respek.
 
Traditional media zinakufa. Sababu ya technology..

Ili ziwe na thamani angalau ziwe basi na soko..
Watu wanaojua thamani ya real journalism..
Wako wapi hao watu??

Wengi tuna subscribe umbea na udaku online....

Ndio maana real journalists watazidi kupotea ..
Wataenda fanya shughuli zingine nyingi tu
Na Na kutokea ki? Daywoker kama hivyo..manake hakuna media za kuwapa mishahar ya kutosha
 
Kipindi cha nyuma walikua wana shine kwa utakatishaji fedha kupitia izo kampuni zao refers kesi ya Kabendera ndio utaelewa ila Serikali ilivyoamua kulala nao mbele mambo yamebadilika binafsi nimemjulia hapa JF baada ya kubadili ID ya Pascal na kuwa Pascal mayala. Mradi tu anafanya kazi halali muache afanye hakuna tatizo.
 
Je, kwa hali hii ina maana Tasnia ya Habari nchini imekuwa Kimafanikio au imeshuka na sasa imeanza kupoteza Umuhimu nchini?

Binafsi kwa Hadhi ya Unguli wa Habari aliokuwa nao Pascal Mayalla nilitegemea leo hii angekuwa anamiliki Chombo chake kikubwa sana cha Habari nchini Tanzania na siyo kuwa Mtangazaji Mchangiaji wa Kawaida mno EA Radio.

Mtu mwingine nae aliyenishtua na kuhisi huenda katika Tasnia kuna Tatizo linalohitaji Mjadala mpana ni baada ya kuona Mtangazaji Nguli Abdallah Majura kuachana na Media yake Kubwa tu Mkoani Dodoma na sasa anahangaika tu na Madaladala yake ya Gerezani - Tegeta na Ubungo SIMU 2000 - Tegeta huku muda mwingi akishinda nayo Gereji Bubu za Bunju kuyatengeneza na Kugombana tu na Mafundi nae akiwa chini ya Uvungu na Spana zake mdomoni na mikononi

Naomba ieleweke kwamba sisemi kuwa Pascal Mayalla kuwa Mtangazaji ni Dhambi ila Kimantiki ukisikia Mchezaji Lionel Messi ameacha Kucheza Mpira na akakubali Kuajiriwa na Yanga SC ya Tanzania kuwa Kit Manager ni lazima tu utashangaa na hata Kushtushwa pia.

Yuko mubashara hivi sasa EA Radio akijinasibu kuwa atakuwa akihudhuria mara kwa mara kwa hicho Kipindi na kuahidi kuwa atakuwa pia ni Mwalimu kwa Waandishi wa Habari ( hasa Watangazaji wa Radio ) wasiojua Kutamka vyema maneno wakiwa Hewani.

Sasa anajiita Mwalimu na kaanza Kumkosoa Mtangazaji wa Kiume aliyekosea kutamka vyema neno Newcastle United na akamkosoa wa Kike aliyeshindwa kutamka vyema neno Kisimbuzi.

Anafanya Utangazaji wa Kiualimu hasa.
Usichague kazi , utalala njaa
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom