Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Gh'ana Mayala unafikra komavu mzee wee nenda...umekuwepo hapa jamvini for a long time...iwakilishe vyema jamii forum na wengine tutakutambua mbunge wetu wa jamii forum...jitaidini kutoa mawazo ya kuisaidia jamii yetu na watu wake ili tuendelee kusogea kimaendeleo...sitegemei kukuona ukiegemea zaidi agenda za ki vyama mtu kama wewe...all the best bro
 
Watu wengi wanakimbilia bungeni kwa lengo la kubadili maisha yao na si ya wananchi.


Kwenye uchaguzi mkuu ingekuwa ni vyema tukachagua nafasi ya urais na udiwani. Sijaona umuhimu na ulazima wa uwepo wa Bunge. Mihimili miwili UTAWALA na Mahakama inajitosheleza kabisa.

Fedha zinazotengwa kuendesha bunge kwa miaka mitano zinaweza kutumika katika maeneo mengine ya maendeleo kwa wananchi.


NB: Nimeandika utani ambao hata mimi binafsi siuelewi
Unayajua majukumu ya bunge ?
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla

basi sawa kaka
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Ulitangaza chama utakacho gombea kiaina. Si ulisema unataka ukamsaidie spika na jei pii emu?
 
Propaganda au aibu ya kukatwa

Hakuna asiyekuwa na access ya media halafu ameweza kugombea ubunge ambao lazma awe na nguvu hizo lkn ni maamuz mwanzon kutokutumia ili uwapige counter wenzio
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
Kila la heri kaka
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Nimetazama kipindi cha "jicho letu ndani ya habari" Star TV leo na kwa kweli imenisikitisha maana kila Jumamosi ni lazima nichelewe kutoka home nitazame mijadala iliyokomaa ya PM. nimeanza kukufuatilia tokea kipindi cha Kiti Moto ITV hadi sasa, Nimepoteza hamu ya kufatilia vyombo vingi vya habari ikiwemo magazeti yetu baada ya ile Rai ya wakina Privatus Karugendo, Joseph Mihangwa, Prince Bagenda na Majid Mjengwa. Sasa nitapoteza sehemu iliyokuwa imebaki amabyo ni kipindi hicho star Tv kwa sababu ya kuondoka kwa Nguli wewe. Safari Salama Legend Paschal Mayalla!
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
Pascal Mayalla hongera sana, unaweza na una hoja nzito.
Nakuombea Mungu, yule aliyekuita "njaa " ulipomuuliza swali na akaweweseka sasa ataweweseka akikuona bungeni.
 
CCM jana ndio ilikuwa siku ya mwisho kuchukua fomu za kugombea ubunge kama sijakosea, Chadema huwa huipendi pendi, I bet unakwenda ACT kwa rafiki yako.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Ingawa sitwaweza kukupigia kura kwa vile sijui jimbo lako, nitakuunga mkono kwa sababu nakufahamu kwa takriban miaka 30 sasa; ninajua kwa uwezo na uadilifu wako bila shaka yoyote utawatendea haki watu wa jimbo lako.
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
Ni wakati mwafaka hata "Matonya" aweke nia kule hata Kongwa!
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Pamoja mkuu nakutakia ushindi wa kishindo.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Tunakuungaje mkono na siri yako.Sikuelew unajua we mzee
 
Tunakuunga mkono bila hata kujali uko chama gani, kwani sifa zako wewe binafsi zinakubeba kuliko chama, nisema ni kama ilivyo Kwa magufuli uwezo wake binafsi kiutendaji unambeba zaidi kuliko chama chake.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Azma ipi sasa ya kuficha ficha mambo.??????Enzi hizi??
 
Back
Top Bottom