blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,439
- 12,596
πππππππAs if huu upuuzi uliopo hautoshi
Mnapanga mwingine 2025.
πππππππAs if huu upuuzi uliopo hautoshi
Mnapanga mwingine 2025.
Mganga hajigangiIla yeye kuambulia kura moja Kawe hakuweza kupewa maono?
Labda kwakuwa ni msukumaPascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.
Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.
Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
Aaah jiwe ndie katiba ndie sheriaLabda kwakuwa ni msukuma
Mwezini mbona dada zetu hawa wanaenda sana tu.Uchaguzi umeisha tunawaza siasa, uchaguzi unakaribia siasa, uchaguzi unafika siasa.
NB: Siasa namaanisha siasa chafu.
Lini tutajadili kurusha rocket & satellite, kuunda vinu vya kurutubisha nuclear, kwenda mwezini na kuunda manowari?
Mikononi mwenu kwa faida ipi?Nitamshindwaje Mtu ambaye 'Watutsi' tumemuweka hapo alipo sasa na hata 'Misaada' mingine ya 'Siri' tunampa? Tanzania iko mikononi mwetu tu.
Rekebisha andiko lako Mayalla hana unguli tena hakuna muandishi wa habari nguli anaetukuza dhambi za watawala ili mkono uende kinywaniPascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.
Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.
Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona Kikwete aliweza?Yaani Daud awe Rais wa nchi hii?? Kwa taarifa yako kama Rais wa nchi hii lazima atoke CCM basi atakuwa jamaa kutoka Zanzibar.
Halafu Mayala hakuwa mtu pekee kumtabiria Magu sema tu kwakuwa aliandika hapa basi mnaona kitu cha ajabu na kibaya zaid ameshindwa kujitabiria mwenyewe na jamaa yake Daud kuwa kura za maoni watapata fedheha.
Hauto timia milelePascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.
Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.
Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
Hilo kikitokea juwa na ccm itakuwa haipo
Ngoja tuvute subiraPasco alimtabiria Magufuli mwaka 2014 na alikuwa kweli