Pascal Mayalla alimtabiria Paul Makonda kuwa mgombea urais wa CCM 2025. Je, unabii wake utatimia?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,447
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
 
Bwashe unamaanisha Pascal huyuhuyu aliyeshindwa kujitabiria kushindwa na Bahati kule Kawe?

halafu na ww unafilisika mawazo kama Pascal...Bashite kweli aje kuwa rais.!?

au unamaanisha kuwa rais,kama Madee alivyo rais wa Manzese ama Mond rais wa WCB.?
 
Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa.

Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2025.

Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je utabiri wa Pascal Mayalla utatimia?

Ngoja tuone.

Maendeleo hayana vyama!
Paul Makonda akiwa 'Rais' wa Tanzania kwa msaada wa 'Kijeshi' nilio na uhakika wa kuupata kutoka Uganda na Rwanda nitampindua haraka sana.
 
Huyu alishafutwa kwenye ulimwengu wa siasa Dr bishop Rashid
Usiwaamini wanasias na maaskofu ambao wapo tayari kubadili majina yao ili kutimiliza matakwa yao

5e3ef3f4d0590eb0f88b270f45faecfe.jpg
 
Back
Top Bottom