Wewe ndio utatoa eneo la kufugia?
Vyovyote tutakavyo kubaliana...Wewe ndio utatoa eneo la kufugia?
dadavua mkuuHela ya ufungaji wa kuku haina tofauti na na hela ya madawa ya kulevya sema tu watu hawajashtukizia hii biashara! Faida yake ni kubwa sana
Nikweli kabisa mkuu inafaida sana ukiwafuga kibiashara sio ufuge kuku kuku to utoona faida yakeHela ya ufungaji wa kuku haina tofauti na na hela ya madawa ya kulevya sema tu watu hawajashtukizia hii biashara! Faida yake ni kubwa sana