Partial Knowledge vs Universal Truth

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,532
44,648
Partial knowledge namaanisha science, religion nakadhalika yaani elimu zote ambazo ndio zina ukweli lakini sio wa kiwango cha UHAKIKA.

Elimu ya dini zote duniani zina mapungufu fulani fulani kwa mfano katika Biblia kuna contradiction nyingi sana na hii ni kwa sababu zamani uwezo wa wazee wetu ulikuwa mdogo yaani kwa mfano zamani mshumaa ulikuwa na thamani sana lakini sasa hivi tunawasha taa za umeme na mshumaa unaonekana sio kitu cha maana sana.

Waandishi wa Biblia wamekosea history haiko sawa, umri umebadilishwa badilishwa. Science na yenyewe pia Ina mapungufu ila uzuri wa science ipo tayari kukosolewa na inaweza kubadilishwa kwa sababu technology inabadilika.

Tukija upande wa universal truth hapa hapana shaka habari zake ni za uhakika mfano kifo ni mwisho wa uhai. Mfano mwingine ukitaka mwili uwe strong unahitaji madini chuma yanayopatikana katika vyakula kama mchicha au ukitaka ulainike unakunywa maji.

Mfano mwingine ni yupo Mungu mwenyewe asiyehesabika yaani sio Mungu mmoja maana namba moja ina mwanzo na mwisho mfano kiatu kimoja kina mwanzo na mwisho ila Mungu sio mmoja isipokuwa kuna Mungu mwenyewe najua hapa ni ngumu sana kunielewa.
 
How do you know kwamba universal truth haina shaka na niya uhakika bila kua na knowledge isiyo na shaka na yenye uhakika kuhusu universal truth isiyo shaka na yenye uhakika?

JamiiForums mobile app
 
- Unatumia knowledge (which you've already called uncertain) kuelezea uhakika wa universal truth.

- Sasa unataka tuamini katika knowledge isiyo na uhakika uliyotupa hapa au unataka tuamini katika uhakika wa universal truth regardless of the means uliotumia kugundua hilo?

JamiiForums mobile app
 
Problem siyo hizo field kuwa ndiyo partial knowledge; it is the individuals who are handling the information in those respective fields ndio wenye limited knowledge. By the way, people who lived zamani walikuwa na capacity kubwa ya brain power kuliko walachipsi wa leo. Lastly, your notion of God is awkwardly obfuscated.
 
Problem siyo hizo field kuwa ndiyo partial knowledge; it is the individuals who are handling the information in those respective fields ndio wenye limited knowledge. By the way, people who lived zamani walikuwa na capacity kubwa ya brain power kuliko walachipsi wa leo. Lastly, your notion of God is awkwardly obfuscated.
Ulipoandika "people who lived zamani" ni zamani ipi unayoimaanisha?


JamiiForums mobile app
 
Hizi mada ni za kuleteanaga ubishi tu. Hakunaga hata mwenye usahihi isipokuwa kuleta ubishi tu.

 
Aya mambo wanaelewa watu wachache sana wala chipsi hawaoni ndani mambo kama haya magumu sana,unatakiwa kukiruhusu kichwa chako kuelewa.You need free and empty mind to understand.
 
Aya mambo wanaelewa watu wachache sana wala chipsi hawaoni ndani mambo kama haya magumu sana,unatakiwa kukiruhusu kichwa chako kuelewa.You need free and empty mind to understand.

Trust me, these are mere hypotheses. NO ONE KNOWS THE TRUTH except the CREATOR
 
Watu wazembe kufikiri kama wewe ndio sababu Tanzania bado iko uchumi wa kati.

Sawa mimi mzembe kufikiri kama usemavyo lakini hakuna atakayekuja na majibu sahii humu sio wewe wala yeyote yule. Utawajazia watu thread tu ukibishana na wengine.
 
Partial knowledge namaanisha science, religion nakadhalika yaani elimu zote ambazo ndio zina ukweli lakini sio wa kiwango cha UHAKIKA.

Elimu ya dini zote duniani zina mapungufu fulani fulani kwa mfano katika Biblia kuna contradiction nyingi sana na hii ni kwa sababu zamani uwezo wa wazee wetu ulikuwa mdogo yaani kwa mfano zamani mshumaa ulikuwa na thamani sana lakini sasa hivi tunawasha taa za umeme na mshumaa unaonekana sio kitu cha maana sana.

Waandishi wa Biblia wamekosea history haiko sawa, umri umebadilishwa badilishwa. Science na yenyewe pia Ina mapungufu ila uzuri wa science ipo tayari kukosolewa na inaweza kubadilishwa kwa sababu technology inabadilika.

Tukija upande wa universal truth hapa hapana shaka habari zake ni za uhakika mfano kifo ni mwisho wa uhai. Mfano mwingine ukitaka mwili uwe strong unahitaji madini chuma yanayopatikana katika vyakula kama mchicha au ukitaka ulainike unakunywa maji.

Mfano mwingine ni yupo Mungu mwenyewe asiyehesabika yaani sio Mungu mmoja maana namba moja ina mwanzo na mwisho mfano kiatu kimoja kina mwanzo na mwisho ila Mungu sio mmoja isipokuwa kuna Mungu mwenyewe najua hapa ni ngumu sana kunielewa.
Mbona mifano yako ya "universal truth" mingine ni ya kisayansi mingine ni ya kidini.
Bila sayansi ungejua kuhusu madini chuma?
bila dini ungemjua Mungu?
My take
dini ilitengenezwa na mtu
lakini sayansi ilimtengeneza mtu.

unaweza kutengeneza dini yako lakini huwezi kutengeneza sayansi cha msingi utaigundua tu.
 
Back
Top Bottom