Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo nyingi, kufagia barabara, ujenzi wa nyumba, kuchimba mitaro ya mabomba ya maji, kuchoma mikaa, kuosha magari..ipi mnayotaka?
Zipo nyingi, kufagia barabara, ujenzi wa nyumba, kuchimba mitaro ya mabomba ya maji, kuchoma mikaa, kuosha magari..ipi mnayotaka?
za kuchora tattoo hazipo..mimi sihitaji msaidizi..ninachora parmanet tats, colour tats, steaker tats and temporar tats..karibu ofisini.. Labda nitakupa kazi ya kuchanganya wino maana ninahitaji msaidizi. Vp wewe ikojua chemistry?hakuna ya kuchora tatoo?
heheheee. Sina cha kuwaambia hawa jamaa. Kama ni MASHAROBARO watakoma!umetisha mkuu.....
za kuchora tattoo hazipo..mimi sihitaji msaidizi..ninachora parmanet tats, colour tats, steaker tats and temporar tats..karibu ofisini.. Labda nitakupa kazi ya kuchanganya wino maana ninahitaji msaidizi. Vp unachua chemistry?
good... unajua kuchora?Nipo vizuri sana mkubwa,im a certified lab technician.
Basics ninazo mkubwa!good... <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /> unajua kuchora?
kwa yeyote mwenye info on hw i can get a part time or weekend job in dar,naomba anijulishe
I do need to earn extra cash!!!!
Zile zinazopatikana kwa net ni za uongo na msijaribu
Mkuu ukipata naomba unijulishe na mimi nina shida kama yako.
Duh ehh bwana hamko wenyewe hapo hata mie,but mie naangalia za community pharmacy town.
umetisha mkuu.....