Nina miaka 55 +15=65 siyo mbaya watoto watakuwa wamepata mali
Hesabu ulijifunzia wapi
Nina miaka 55 +15=65 siyo mbaya watoto watakuwa wamepata mali
SAwa kauze nafsi yako kwa lucifuge lofokale lucifer mbona utakuwa bilioneaHata wanaoombewa nikisema ni shortcut nitakua nakosea, hata wanaoamini mungu nao pia ni shortcut..imani yako unayoiamini itabaki kua imani yako, hata ukiamini chupi inaweza kukupa unachohitaji Mimi nani wa kubeza, ndio mana katika swala LA chanjo ya uviko kuna wanaoamini ni SUMU, na kuna wanaoamini itawasaidia, wengine wanawsikiliza manabii wao makanisani, so its all about choices ..maingiliano yasiwepo..mipaka ya kiimani viheshimiwe.
Spiritual huwezi pata vivid example,but KILA 3 people one uzungumiza dawaSensa yako kujua ni 90% umeifanya lini, show with vivid examples, I mean naomba kuona data kwa kila mkoa !
Duuh kweli uko siriaz.Punguza makasiriko, its all about choices. Hata wengine wanaamini gwajima anaweza kuwapa utajiri/ubilionea, au mwamposa anaweza kuwapa utajiri/ubilionea, wengine padre, mchungaji, kila mmoja ana njia yake, anachokipata huko ni siri yake na huyo aneyempa anachokitaka, kwaio kwa lugha nyepesi usikasirike unapokula ngogwe au bamia kama mboga na ukamuona jirani yako anakula kuku kama mboga ukaona nongwa.