[PART 3-FINALLY] netcat backdoor bypass all type of antivirus (only blackhats read this)

Dah nashukuru sana imekubali. Samahani ivi hii ukiacha antvirus hiii windows defender inaweza bypass hizi zingine kama avast n.k??
Nimetest windows defender ila nimejarbu na attribute nimescore 10/60 sasa kwa kawaida ni matokeo mazuri ila sijajua kwa upande wa virus total ila nimetest na avast, avira, eset haijawadetected ila unachotakiwa ni kuijua CMD vzr soon victim akiwa kwa line
 
Nimetest windows defender ila nimejarbu na attribute nimescore 10/60 sasa kwa kawaida ni matokeo mazuri ila sijajua kwa upande wa virus total ila nimetest na avast, avira, eset haijawadetected ila unachotakiwa ni kuijua CMD vzr soon victim akiwa kwa line
Shukrani sema nini kuna issue nataka unisaidie hata kukulipa nitakulipa ngoja nije private
 
Of coz

, af mm sio beginner so issue za kutafuniwa unakosea unaponipoint mm sema huwa tu nacomment kwenye hizi lessons zako ili watu wajifunze zaidi kutokana na kile tunachodiscuss mm na ww.

Unajua mkuu Thefreedom unapoongelea issue za backdoors na malwares kuna vitu vingi saana very technical na ambavyo ni difficult kudeal navyo unless uwe vizuri sana kwenye algorithms na encryption na ndo maana hapa bongo wengi wanaishia kuwa script kiddies tu but wanajiita hackers... Kuna issues nyngi sana tungejadili hapa lkn this aint the place suitable for this coz hata nlipoangalia hizo codes zako hapo nkazifanyia analysis naona vitu vingi vinalack, lkn kwakua umeshasema kwamba haujaweka kila kitu, it's okay. Ungeweka kila kitu it would be nice coz tungeweza kufanya full analysis kwa hio algorithhm ulotumia hapo kuavoid detection

Kuna forum ipo in the DARKNET inaitwa 'torum' link yake ni hii torum6uvof666pzw.onion (plz kama wewe sio experienced user wa DARK WEB jipange kwanza ndo uingie coz DARK WEB is risky and dangerous)

Humu kuna very clever algorithms ambazo community ya hackers tofauti wanatengeneza na kuzianalyse, So unaweza kuingia humo ukalinganisha na hio yako amd even contribute if you have something new.

Forum yenyewe ndo hii
View attachment 1081917View attachment 1081919
View attachment 1081920View attachment 1081921
Huuu uzi nilikuwa sijausoma wote haya mabishano yanatia raha sanaa ila conclusion ni kwamba wewe unajiiita sijui kali linux hoja zako za kipumbavu na dhati toka mshikaji kapost katika comment zako unaonekana dhati kabisa ulikuwa unampinga ili uonekane wewe ndo unajua kumbe na wewe ni ushuzi wa asubuhi tu Thefreedom umekosea kujibishana na watu kama hawa ungemvungia tu. Wewe kali linux leta na wewe codes zako tuone au njia yako tuone ubishane na kwa facts sio unamcrash mshikaji... The freedom anajua huo ndo ukwelii mkuu
 
Usipost VIRUS TOTAL..jamaa washenzi wanashare virus signature kwa developer wa hizi Ant-malware..wakiipata tu signature Hugo virus badae lazima awe detected
 
Of coz

, af mm sio beginner so issue za kutafuniwa unakosea unaponipoint mm sema huwa tu nacomment kwenye hizi lessons zako ili watu wajifunze zaidi kutokana na kile tunachodiscuss mm na ww.

Unajua mkuu Thefreedom unapoongelea issue za backdoors na malwares kuna vitu vingi saana very technical na ambavyo ni difficult kudeal navyo unless uwe vizuri sana kwenye algorithms na encryption na ndo maana hapa bongo wengi wanaishia kuwa script kiddies tu but wanajiita hackers... Kuna issues nyngi sana tungejadili hapa lkn this aint the place suitable for this coz hata nlipoangalia hizo codes zako hapo nkazifanyia analysis naona vitu vingi vinalack, lkn kwakua umeshasema kwamba haujaweka kila kitu, it's okay. Ungeweka kila kitu it would be nice coz tungeweza kufanya full analysis kwa hio algorithhm ulotumia hapo kuavoid detection

Kuna forum ipo in the DARKNET inaitwa 'torum' link yake ni hii torum6uvof666pzw.onion (plz kama wewe sio experienced user wa DARK WEB jipange kwanza ndo uingie coz DARK WEB is risky and dangerous)

Humu kuna very clever algorithms ambazo community ya hackers tofauti wanatengeneza na kuzianalyse, So unaweza kuingia humo ukalinganisha na hio yako amd even contribute if you have something new.

Forum yenyewe ndo hii
View attachment 1081917View attachment 1081919
View attachment 1081920View attachment 1081921
Mkuu Kali Linux kwanza shukran kwa michango yenu wewe pamoja na The freedom katika chochote challenges ni muhimu sana... So big up brothers.

Hapo kwenye hiyo link ya from Darkweb ungeshare zaidi ingekuwa powa sana.
 
Mkuu Kali Linux kwanza shukran kwa michango yenu wewe pamoja na The freedom katika chochote challenges ni muhimu sana... So big up brothers.

Hapi kwenye hiyo link ya from Darkweb ungeshare zaidi ingekuwa powa sana.
Hio link ukiifungulia kwenye browser ya kawaida itakuzingua kufunguka. So inabidi utumie TOR browser ndipo uweze kufungua links za dark web. Ila kuwa makini sana coz kule ni virahisi sana kujikuta unaibiwa data zako au unatumiwa malware.

Nakushauri uwe unatumia parrot OS (Au linux distro yyt) coz zinakuja na TOR browser yenye configurations nzuri kiusalama na inakuwa haina uhitaji sana wa kutumia VPN(japo unashauriwa sana kutumia vpn)

Kwa android devices unaweza kudownload TOR browser fro playstore na ukaifungua hio link.
 
Kwahiyo challenge imetolewa,mleta uzi umegoma ku accept kisa website haijaisha..
Ah ah ah hivi hackers wa kizazi hiki ndo mlivyo..
Btw kali-forum nmeielewa sana..kudos
 
Hio link ukiifungulia kwenye browser ya kawaida itakuzingua kufunguka. So inabidi utumie TOR browser ndipo uweze kufungua links za dark web. Ila kuwa makini sana coz kule ni virahisi sana kujikuta unaibiwa data zako au unatumiwa malware.

Nakushauri uwe unatumia parrot OS (Au linux distro yyt) coz zinakuja na TOR browser yenye configurations nzuri kiusalama na inakuwa haina uhitaji sana wa kutumia VPN(japo unashauriwa sana kutumia vpn)

Kwa android devices unaweza kudownload TOR browser fro playstore na ukaifungua hio link.
Tor ina socket dynmv connection, kikubwa tu kutomaximize ur tor screen browser
 
Kwahiyo challenge imetolewa,mleta uzi umegoma ku accept kisa website haijaisha..
Ah ah ah hivi hackers wa kizazi hiki ndo mlivyo..
Btw kali-forum nmeielewa sana..kudos
Kikubwa hapo sio kuoneshana nani anajua mkuu. Kwa nchi yetu kupata watu wanaotufundisha haya mambo sisi ambao tulikuwa hatujui hata computer hawa ni wakuheshimu sana. Kikubwa kilikuwa ni kila mmoja au anayempinga mwenzie aje na hoja yake alternative ili sisi bigner tufaidike... Wote sisi ni damu moja , kuna bro wangu aliniambia kitu siku moja kwamba a real hacker kwanza hata kama akidharauliwa haongeagi saana na wala hakuambiii anashusha lini data zako, kwahiyo ni bora waelwane kama wanaume wazidi kutupa madini.

Kipendeza wafungue group kuliko humu....
 
Kikubwa hapo sio kuoneshana nani anajua mkuu. Kwa nchi yetu kupata watu wanaotufundisha haya mambo sisi ambao tulikuwa hatujui hata computer hawa ni wakuheshimu sana. Kikubwa kilikuwa ni kila mmoja au anayempinga mwenzie aje na hoja yake alternative ili sisi bigner tufaidike... Wote sisi ni damu moja , kuna bro wangu aliniambia kitu siku moja kwamba a real hacker kwanza hata kama akidharauliwa haongeagi saana na wala hakuambiii anashusha lini data zako, kwahiyo ni bora waelwane kama wanaume wazidi kutupa madini.

Kipendeza wafungue group kuliko humu....
Hapa umeongea point, na ndo maana nmereply.

Sasa kipindi unanitukana kwenye comment yako iliopita ulikuwa unamaanisha nn?? Ndo maana nlikupa like tu nkatembea coz nliona haujitambui. Coz ww MRnyotta hata hunijui

Kila hacker ana personality yake, kuna wengine wanapenda kuongea na wengine ni wakimya. Ukitaka uthibitisho unaweza kuingia kwenye forums zzt za hackers thn utajionea hilo. Hio kukaa kimya unasema coz wengi wanaona kwenye movies tu lkn hawajui real life hackers wakoje. Mbona Snowden ni hacker mzuri tu lkn ni mwongeaji pia.

Afterall I got your point.

Na kama Thefreedom yuko tayari ni bora tufute zile comments za mabishano yasiyo na tija Ili tusipoteze lengo la uzi coz tulichokuwa tunabishana ni off topic. Mm nafuta zangu let the tutorial go on.
 
Hapa umeongea point, na ndo maana nmereply.

Sasa kipindi unanitukana kwenye comment yako iliopita ulikuwa unamaanisha nn?? Ndo maana nlikupa like tu nkatembea coz nliona haujitambui. Coz ww MRnyotta hata hunijui

Kila hacker ana personality yake, kuna wengine wanapenda kuongea na wengine ni wakimya. Ukitaka uthibitisho unaweza kuingia kwenye forums zzt za hackers thn utajionea hilo. Hio kukaa kimya unasema coz wengi wanaona kwenye movies tu lkn hawajui real life hackers wakoje. Mbona Snowden ni hacker mzuri tu lkn ni mwongeaji pia.

Afterall I got your point.

Na kama Thefreedom yuko tayari ni bora tufute zile comments za mabishano yasiyo na tija Ili tusipoteze lengo la uzi coz tulichokuwa tunabishana ni off topic. Mm nafuta zangu let the tutorial go on.
Haina noma mkuu
 
Hapa umeongea point, na ndo maana nmereply.

Sasa kipindi unanitukana kwenye comment yako iliopita ulikuwa unamaanisha nn?? Ndo maana nlikupa like tu nkatembea coz nliona haujitambui. Coz ww MRnyotta hata hunijui

Kila hacker ana personality yake, kuna wengine wanapenda kuongea na wengine ni wakimya. Ukitaka uthibitisho unaweza kuingia kwenye forums zzt za hackers thn utajionea hilo. Hio kukaa kimya unasema coz wengi wanaona kwenye movies tu lkn hawajui real life hackers wakoje. Mbona Snowden ni hacker mzuri tu lkn ni mwongeaji pia.

Afterall I got your point.

Na kama Thefreedom yuko tayari ni bora tufute zile comments za mabishano yasiyo na tija Ili tusipoteze lengo la uzi coz tulichokuwa tunabishana ni off topic. Mm nafuta zangu let the tutorial go on.
Okay
 
Kikubwa hapo sio kuoneshana nani anajua mkuu. Kwa nchi yetu kupata watu wanaotufundisha haya mambo sisi ambao tulikuwa hatujui hata computer hawa ni wakuheshimu sana. Kikubwa kilikuwa ni kila mmoja au anayempinga mwenzie aje na hoja yake alternative ili sisi bigner tufaidike... Wote sisi ni damu moja , kuna bro wangu aliniambia kitu siku moja kwamba a real hacker kwanza hata kama akidharauliwa haongeagi saana na wala hakuambiii anashusha lini data zako, kwahiyo ni bora waelwane kama wanaume wazidi kutupa madini.

Kipendeza wafungue group kuliko humu....
Nimekuelewa ila binafs napenda challenges

Ila ukinichallange uje na hoja husika

Usinichallange kwa kile nilichotest ukweli hio kitu ina bypass defender na baadhi ya AV

lakn sasa ndugu yangu kali linux kanichallange kwa kupinga kitu nilichofanyia research

Kukosea kusema ina bypass all Microsoft security maana yangu kwamba hio peaxe ya code ni open source ikiwa detected tumia ur knowledge kumake it FUD

NA NDO MAAANA NASEMA ITABYPASS ALL UPCOMING MICROSOFT SECURITY

Hiki ndicho nilichosema happ juuu mwanzo ikiwa detected leo kesho wengine watamodify too ili iwe FUD


kali linux nishafuta comments
 
Uliovokuwa mpuuuzi INA DENIAL OF SERVICE BINDED
Haahahaha! Idubue tuu!

The freedom mm nazan jamaa yupo sahihi isipokuwa tu kosa alilofanya hajatumia njia nzuri ya uwasilishaji kwenye hoja zake..
Hio link ukiifungulia kwenye browser ya kawaida itakuzingua kufunguka. So inabidi utumie TOR browser ndipo uweze kufungua links za dark web. Ila kuwa makini sana coz kule ni virahisi sana kujikuta unaibiwa data zako au unatumiwa malware.

Nakushauri uwe unatumia parrot OS (Au linux distro yyt) coz zinakuja na TOR browser yenye configurations nzuri kiusalama na inakuwa haina uhitaji sana wa kutumia VPN(japo unashauriwa sana kutumia vpn)

Kwa android devices unaweza kudownload TOR browser fro playstore na ukaifungua hio link.
Asante kwa kujali mkuu Kali Linux ila usijali saana mm ni mzoefu na mtumiaji mzuri wa DARKWEB...na kuhusu Linux distro natumia Backbox iko POWa sana nmetumia hizo parrot,Kali mpaka blackarch lakin bado nimestick kwa Backbox.
 
Hio link ukiifungulia kwenye browser ya kawaida itakuzingua kufunguka. So inabidi utumie TOR browser ndipo uweze kufungua links za dark web. Ila kuwa makini sana coz kule ni virahisi sana kujikuta unaibiwa data zako au unatumiwa malware.

Nakushauri uwe unatumia parrot OS (Au linux distro yyt) coz zinakuja na TOR browser yenye configurations nzuri kiusalama na inakuwa haina uhitaji sana wa kutumia VPN(japo unashauriwa sana kutumia vpn)

Kwa android devices unaweza kudownload TOR browser fro playstore na ukaifungua hio link.
Nazani unaelewa bro changamoto iliyopo ktk kutumia Darkweb.. kupata links za hizi forums ni changamoto kiasi..ndomana nikakuomba ushare zaidi kama utakuwa tayari kushare hizi links.
 
Haahahaha! Idubue tuu!

The freedom mm nazan jamaa yupo sahihi isipokuwa tu kosa alilofanya hajatumia njia nzuri ya uwasilishaji kwenye hoja zake
Thefreedom kuna comments umeacha ndomaana bado watu wanaku quote.

Mkuu Ubombo Hata kama ina DOS binded naweza kuiachia hivo na iwe ngumu mtu kufanya successful DDOS attack ndo maana nliruhusu aipige DOS coz ile server nnayotumia inaweza kuhandle requests nying sana na nmeisetia tabia ya kublock ip addresses zinazobehave DOS-wisely. Atlast itamfanya attacker atumie nguvu kubwa sana kwa kitu kisicho na umuhimu

So inabidi utumie BOTNET yenye zombie pc's nyng sana kitu ambacho ni costful na sidhan kama bongo kuna mtu anamiliki BOTNET ya kutisha

But this case was closed, sema Thefreedom hakufuta hio comment ndo maana umeiona, but this issue is already over mkuu



Nazani unaelewa bro changamoto iliyopo ktk kutumia Darkweb.. kupata links za hizi forums ni changamoto kiasi..ndomana nikakuomba ushare zaidi kama utakuwa tayari kushare hizi links.
Yap kuna thread nilianzisha nkaweka links ambazo ziko updated na zinafanya kazi, lkn sijui MODS wa JF waliupeleka wapi aisee. Ngoja nizifatilie tena(Huwa zinabadilika sana) then ntazipost hapa coz nkifungulia uzi Mods wataupoteza tena kama walivyofanya last time
 
Back
Top Bottom