Parking Dar: Kingunge na familia yake ni wasanii?

mwanatanu

JF-Expert Member
Jan 22, 2008
851
127
Nimeona kwamba sasa hivi Dar popote unapo park gari unabidi ulipe.Sasa swali langu ni je fedha hizo zinaenda wapi?Maana sijaona sehemu zenye alama zozote za parking.Je ni kweli kuwa parking collection zote za Dar ni kampuni ya mzee Kigunge?
 
swali zuri hilo? maana ndio ufisadi tunaopigia kelele angle zote...najua utapata jibu zuri sana humu maaana kuna member wanafanya kazi city kwenye kitengo cha kutoa tenda kama hizo,omba mungu awe amenyimwa mgawo utajua siri zote,pesa nyingi sana hizo zingeweza kusafisha jiji vizuri na huduma ndogo ndogo kama park & library..lakini mafisadi hawaambiwi chochote na zikipatikana wanaongeza VX ya mkurugenzi wa kupuliza vumbi
 
Lengo la Parking Fee ilipokuwa introduced late 1990s ilikua ni kupunguza msongamano wa magari katikati ya jiji na kufanya watu watumie public tranpsort lakini pia kama utapark basi within a short time utaondoka uwape parking na wengine

Walianzia City center sasa nasikia wako kila mahali isipokuwa kwenye private parkings tu.

Kuhusu mapato nadhani mfumo unaotumika mtanisahihisha. Tender inatangazwa bidders wanaonyesha watawacharge watu kiasi gani, watakusanya kiasi gani kwa mwezi watalipa kodi kiasi gani na wataigawia City kiasi cha faida watakayopata so mwenye kulipa kodi kubwa na kutoa sehemu kubwa ya gawio la faida ndio anapewa.

The same approach imetumika kwa soko la kariakoo, kituo cha mabasi ubungo, n.k

Swali ni wapi zinaenda hizo fedhaaaaaaaaaaaaaaaaaa?????

Mbona Jiji huwa halitoa mapato na matumizi yake kwa wanachi wakeeeeee?

Je nani anafanyia auditing hizi company kuona wanakusanya kiasi gani na kama ndicho kinalipiwa kodi na kugawa faida kwa City
 
Nimeona kwamba sasa hivi Dar popote unapo park gari unabidi ulipe.Sasa swali langu ni je fedha hizo zinaenda wapi?Maana sijaona sehemu zenye alama zozote za parking.Je ni kweli kuwa parking collection zote za Dar ni kampuni ya mzee Kigunge?

Katika nchi nyingi mapato kama haya yanaingia katika mfuko wa city na pia parking zote zinakuwa chini ya city council na siyo mtu binafsi. Hebu tulivalie njuga hili na kujua mapato haya yanakwenda wapi na pia kama yanasaidia katika kuboresha huduma mbali mbali za jiji na kwanini hayakusimamiwa na jiji.
 
Je ni kweli kuwa parking collection zote za Dar ni kampuni ya mzee Kigunge?

Naam! Huo mradi ni wa Mheshimiwa KNM na familia yake Kinje na mama yake wakiwa ndo wakurugenzi, pamoja na ule Ubungu Bus Terminal hususana mabango yote ya matangazo pale terminal. Alipewa tender hiyo on a plater na kijana wake Ndugu Mukama kwa baraka za Ngwilizi (enzi hizo).

Hii ni baada ya Chacha Kiguha kuzikusanya tani yake na kutowalipa City sehemu yao ya mgao na akaingia mitini. Mzee Chacha tunaye huku US anatanua tu.
 
Nimeona kwamba sasa hivi Dar popote unapo park gari unabidi ulipe.Sasa swali langu ni je fedha hizo zinaenda wapi?Maana sijaona sehemu zenye alama zozote za parking.Je ni kweli kuwa parking collection zote za Dar ni kampuni ya mzee Kigunge?
Hela za parking Dar., zinaliwa na Kingunge na mwanawe kinje.

Kingunge, ni mjamaa kuliko nyerere, lakini mungu hajamjaaliya mtoto au amemjaaaliya mtoto ambaye mamake ni muhindi (au kwa lugha ya dar) mdosi. Anaitwa, Kinje1
Kinje au Kinjikitikile, ambaye hafanani na kingunge hata kidogo, (naomba wakapime DnA), ndiye anaekula mipesa yote ya parking, of-course kwa mpangilio maalum.

Kingunge ni rafiki mpenzi wa nyerere. na asingeweza kupewa ma-parking system ya mmjini na ubungo kama hana uhusiyano na system. Sasa kingunge, mjamaa, na hana dini, na leo kawa bepari, na ni rafiki mkubwa wa nyerere, kama si fisadi ni nani? jee, hamuijuwi system ni nini?
 
Hela za parking Dar., zinaliwa na Kingunge na mwanawe kinje .. Anaitwa, Kinje1 Kinje au Kinjikitikile, ambaye hafanani na kingunge hata kidogo, (naomba wakapime DnA) ..

Zomba yako hii kali mshikaji .. Napiga picha mawazaoni namwona pale KNM na Mrs. KNM na Kinje1 wanaelekea Ocean Road kupima hiyo DNA! Hehe hehehe heheheheh.. mbavu sina.

Huyo atakaye toa hiyo amri NANI, na bastola ya "Chori Kinje" itakuwa haina risasi, maanake yeye na Dito zao ziko nje nje mshikaji.
 
Zomba,

mama yake Kinje sio Muhindi au mdosi. Isipokuwa ukweli ni kuwa Bibi yake Kinje ndio alikuwa na damu ya kidosi.........
 
Huo mradi ni wa CCM. Chacha alishindwa kutoa fungu alilotakiwa hivyo wakamnyang'aya hiyo kazi na kumkabidhi Mzee Kingunge ambaye ni muumini mzuri wa chama. Mradi huu ulibuniwa na akina Sumaye.
 
Mwisho wa siku mtaambiwa kwamba alipewa zabuni kwa kufuata sheria na taratibu zote za manunuzi... teh... teh.... DNA.
 
Hata Arusha mambo ni hayo hayo, unashangaa unadaiwa parking huku umepark gari lako phillips au mbauda. unabaki unajiuliza huku ni city centre?????
 
Unajua siku zote, watanzania tuna mambo mengi sana ambayo tunapaswa kupewa majibu kamili. Ufisadi umekithiri sana nchi hii. Miongoni mwa vitu vinavyonikera ni hili suala la kulipia parking. Tazama,mtanzania unalipia income tax,vat kwa kitu kila unachonunua,kodi ya nyumba, matibabu. Yaani every where mtanzania analipa kodi. ni kunyonywa tu every where. tutafika kweli? najua huu mradi ni wa Kinje na Kingunge,sasa inakuwaje kiongozi anapewa tender ya kuendesha mradi wakati diwani tu aruhusiwi kuchukua tender yeyote kwenye almashauri za wilaya? si ndiyo ufisadi huu
 
Hela za parking Dar., zinaliwa na Kingunge na mwanawe kinje.

Kingunge, ni mjamaa kuliko nyerere, lakini mungu hajamjaaliya mtoto au amemjaaaliya mtoto ambaye mamake ni muhindi (au kwa lugha ya dar) mdosi. Anaitwa, Kinje1
Kinje au Kinjikitikile, ambaye hafanani na kingunge hata kidogo, (naomba wakapime DnA), ndiye anaekula mipesa yote ya parking, of-course kwa mpangilio maalum.

Kingunge ni rafiki mpenzi wa nyerere. na asingeweza kupewa ma-parking system ya mmjini na ubungo kama hana uhusiyano na system. Sasa kingunge, mjamaa, na hana dini, na leo kawa bepari, na ni rafiki mkubwa wa nyerere, kama si fisadi ni nani? jee, hamuijuwi system ni nini?


Mkuu,
Naomab nakubariana na wewe kwenye yote hayo ya KINGUNGE na KINGUNGE SON lakini kuna mmoja nanomba kurekebisha ama kuongeza,.
Yule Bwana Kimgunge dini anayo ila ukiwa FISADI lazima utafute techniques za kula bila ya kushtukiwa,maana ni hii;jamaa hua akiwa anakula Oath anajifanya kushika mti kwamba niwadini zile za asili lakini wapi ni A DIVOTED CHRISTIAN hiyo nakumeagea na ngoja siku atakapo kufa atathibitisha maneno yangu
 
A devoted Christian ? Catholic ? Lutheran ? CDA or wha denomonation?
Hebu tufungue macho na naomba afe haraka kabla mjadala huu haujapoa kwanza ni Fisadi tu .
 
Iwapo kweli unataka kujua ni wapi fedha za parking zinakwenda au zinatumika vipi ni kazi rahisi kabisa. Na iwapo tu unataka kufurahisha baraza ni kazi rahisi vilevile.

Halmashauri zote za Jiji, Manispaa na Wilaya huwa na vikao vya bajeti. Hapo mapato na matumizi ujadiliwa kwa kina na Madiwani.

Aidha vikao hivi ni vya wazi kama vile vya bunge. Hivyo wananchi wanapaswa kwenda kusikiliza na kujua nini kinaendelea katika wadi zao na halmashauri kwa ujumla.

Hivyo basi kama unataka hasa kujua ni wapi hela?(mapato) inakwenda wasiliana na Jiji, na sio kupika majungu hapa.
 
Big up kwa hii thread!
Hata mimi huwa nashangaa...si wangeotesha hata miti basi. Isitoshe hao wakusanyaji ni corrupt...vicious cycle!
 
Iwapo kweli unataka kujua ni wapi fedha za parking zinakwenda au zinatumika vipi ni kazi rahisi kabisa. Na iwapo tu unataka kufurahisha baraza ni kazi rahisi vilevile.

Halmashauri zote za Jiji, Manispaa na Wilaya huwa na vikao vya bajeti. Hapo mapato na matumizi ujadiliwa kwa kina na Madiwani.

Aidha vikao hivi ni vya wazi kama vile vya bunge. Hivyo wananchi wanapaswa kwenda kusikiliza na kujua nini kinaendelea katika wadi zao na halmashauri kwa ujumla.

Hivyo basi kama unataka hasa kujua ni wapi hela?(mapato) inakwenda wasiliana na Jiji, na sio kupika majungu hapa.
Sounds like Kinje's Son
 
Mheshimiwa Kibaunango unasikika ni mtu anayekana reality...huoni kuwa zile fedha hazisaidii chochote jiji..hebu angalia mfano Kariakoo kulivyo na traffic jam god forbid kukitokea fire hakuna hata njia ya firebrigade kupita...i believe kama zile pesa zingetumika vyema kungekuwepo mabadiliko.
 
yaani mapato na Kingunge na mkewe na watoto wake unasema iende kujenga Kariakoo ama mimi sijakuelewa ?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom