Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,371
Wasaalam wakuu
Hivi tunakwenda wapi na DUNIA yetu
Mwaka uliopita kulizuka habari juu
Paris Jackson, binti wa Fundi wa pop marehemu Michael Jackson, anahusika katika filmu mpya ambayo yeye atacheza kama ,Yesu Kristo kama mwanamke msagaji katika filamu hiyo mpya ya Habit
Habit, pia itachezwa na nyota wengine kama Bella Thorne na Gavin Rossdale, na ipo kwajili ya kuonyesha maisha ya masihi .
Lakini itamwonyesha Paris Jackson akicheza kama Yesu Kristo mwanamke aliye na nywele za mtindo na kipini cha puani.
Jackson atacheza kama Yesu lakini kinyume na ilivyo, yeye atacheza kama Msichana mjanja, msichana wa starehe na Yesu [ambaye] anajichanganya na biashara za madawa ya kulevya na kujifanya kama Mtawa," taarifa hiyo ilienea katika vyombo vya habari
Mtayarishaji wa filamu hiyo, Donovan Leitch, aliwaambia Waandishi na vyombo vya hababari kuhusu filmamu hiyo
Ingawa tarehe ya kutolewa kwa filamu haikutangazwa, lakini makundi ya Kikristo tayari yaliendelea kuzuia na kupinga,
Maombi kwa wahusika wa filamu, yasiyo ya faida za Kikristo, wakisema kuwa "haikubaliki kwa waumini".
Kundi hilo lilisema kuwa filamu hiyo ingeweza kuwachanganya na kupotosha watoto.
Waombaji walipaza na.
Wakati huo huo wakawa wanashambulia uonyesho wa kihistoria na wa kibiblia wa Yesu Kristo.
Wakiomba msaada kuizuia, kwamba Filamu hiyo haikubaliki kwa waumini kote nchini na dunia.
daVinci XV
Hivi tunakwenda wapi na DUNIA yetu
Mwaka uliopita kulizuka habari juu
Paris Jackson, binti wa Fundi wa pop marehemu Michael Jackson, anahusika katika filmu mpya ambayo yeye atacheza kama ,Yesu Kristo kama mwanamke msagaji katika filamu hiyo mpya ya Habit
Habit, pia itachezwa na nyota wengine kama Bella Thorne na Gavin Rossdale, na ipo kwajili ya kuonyesha maisha ya masihi .
Lakini itamwonyesha Paris Jackson akicheza kama Yesu Kristo mwanamke aliye na nywele za mtindo na kipini cha puani.
Jackson atacheza kama Yesu lakini kinyume na ilivyo, yeye atacheza kama Msichana mjanja, msichana wa starehe na Yesu [ambaye] anajichanganya na biashara za madawa ya kulevya na kujifanya kama Mtawa," taarifa hiyo ilienea katika vyombo vya habari
Mtayarishaji wa filamu hiyo, Donovan Leitch, aliwaambia Waandishi na vyombo vya hababari kuhusu filmamu hiyo
Ingawa tarehe ya kutolewa kwa filamu haikutangazwa, lakini makundi ya Kikristo tayari yaliendelea kuzuia na kupinga,
Maombi kwa wahusika wa filamu, yasiyo ya faida za Kikristo, wakisema kuwa "haikubaliki kwa waumini".
Kundi hilo lilisema kuwa filamu hiyo ingeweza kuwachanganya na kupotosha watoto.
Waombaji walipaza na.
Wakati huo huo wakawa wanashambulia uonyesho wa kihistoria na wa kibiblia wa Yesu Kristo.
Wakiomba msaada kuizuia, kwamba Filamu hiyo haikubaliki kwa waumini kote nchini na dunia.
daVinci XV