PARADOX: Dr. Slaa - Money Maker (msaliti); Wapinzani bado hawako nchi hii.......

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,785
Napenda kusema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko!

Uchaguzi umeisha na yaliyotokea yametokea!

Nchi hii siyo ya CCM, wala Chadema wala CUF, WAKITOKEA WAPINZANI WAKALIJUA HILO BASI HAPO NDIO UKOMBOZI!

Serikali ya umoja wa kitaifa yenye kujumuisha vyama vyote kulingana na idadi ya kura zao ndio suluhisho pekee la maendeleo ya nchi yetu. KATIBA IBADILISHWE

Ni jambo lililowazi kuwa kibiashara Vyama vya upinzani vilivyopata wabunge wengi, basi RUZUKU itaongezeka, Hivyo wale wote wanaodhania Slaa kutoingia Ikulu ni kufa na njaa basi wameishiwa kabisa.

Hii biashara ya RUZUKU ndiyo pekee inayowafanya wale tunaowaona wapinzani kumbe sio, si chadema wala CUF-bara, achilia mbali NCCR watakaotamba na kusema ni wapinzania.

Akitokea mtu au chama ambazo watasema tubadili katiba hii, na NEC hii hapo ndio mwanzo wa utungu wa ukombozi wa taifa hili.

Slaa hayuko tayari na alishasema kazi ngumu sana kubadili katiba! sembuse urais?

Hivi ukiingia kwenye uchaguzi hali ukijua NEC ni ya CCM na wataipendelea CCM, JE MATEGEMEO NI NINI? Je swala la kuibiwa kura halikuonekana? Nani alifuatilia lini majina ya wapiga kura yatatolewa na yasipoonekana wafanye nini?

Huu uvivu wa kufikiri na kudhania kuwa NEC leo watakuwa malaika ili hali wamefanya hivyo miaka yote ni uvivu kama sio USALITI!
HIVI SASA wapinzani watakaa kimya,no one will ever talk about NEC and its reformation,no one will talk about the constitutional change?

Kama Slaa na wenzake wataanzia hapa LEO HII, SASA HIVI, THEN MTAONEKANA NA WALE WENYE AKILI KUWA MNA MALENGO MAZURI NA NCHI HII.

Lakini ni hatari kudhania kuwa CHADEMA ikiingia madarakani kwa katiba hii, then hawatafurahia wanachokifurahia CCM!!!!!! Hii ni kama kuwa mafisi yanayosuburi CCM iangushe nyama inayoitwa Tanzania.

Katiba ingekuwa imabadilika, asilimia 24 alizopata Slaa zingetosha walau kushika hata wizara mbili!!!, then next election wangeenda mbali zaidi,

Vyama hivi viko kibiashara zaidi na havina lengo la kuikomboa Tanzania!!
Leo Simba wakijua refarii huyu atapendela Yanga hawaingii uwanjani! Hii akili ndogo kabisa ndiyo inawafanya watu mtoane mimacho hali mmeuziwa mbuzi kwenye gunia? CCM gani watakubali watoke mabadarakani kirahisi rahisi hali wizi na ufisadi ni kama pumzi ya uhai kwao, kwani alichofanya Mahanga Segerea si ni mfano tosha kuwa vyampa vya upinzani havijajitayarisha?

Well, mtego mwingine ni kuwa msipigane na hizo ruzuku, issue ambayp imekila chadema kwa muda mrefu chini ya Mbowe!

Bila kubadilisha NEC na Katiba, basi ni ushahidi tosha malengo ya vyama hivi ni mabaya sana kuliko maelezo, na kama kawaida wafuata mkumbo wale 70% na wanasema AMINA!

Is not my first time, I said it and will always be!

HATUNA WAPINZANI NA CHADEMA SIO WAPINZANI
I submitt


 
You can define upinzani the way you like, the way it pleases you but to me and many more Dr. Slaa is our hero na ni mpinzani kama ilivyo CHADEMA.
 
Good, nikweli kabisa lazima kuwe na ujengaji misingi ya fair play kwanza kabla ya kufikiria kuingia madarakani, bila kufanya hivyo kamwe hakutakuwa na vyama shindani vya kweli. Hivi kwanini Kiravu na Makame hawajiuru mpaka sasahivi
 
Good, nikweli kabisa lazima kuwe na ujengaji misingi ya fair play kwanza kabla ya kufikiria kuingia madarakani, bila kufanya hivyo kamwe hakutakuwa na vyama shindani vya kweli. Hivi kwanini Kiravu na Makame hawajiuru mpaka sasahivi
USITUPE KIAZI CHAKO KWA MKATE WA JIRANI

nimesomeka hapo.
 
Waberoya,

I salute you Comrade,

Bado sijaona logic ambayo inaweza kutoa outstanding or credible backup kwenye hoja yako iliyotanguliwa na heading ya kuwa Dr.Slaa-Money Maker au Msaliti.It is a bit hard to comprehend,can you justify your argument kwa kutumia laymans language?
 
I mean Dr.Slaa as an Individual,coz sijaona heading iliyobeba institutional establishment
 
Waberoya your message is a bit harsh hata kama JF tuna amini katika haki ya kusema .Unaweza kuwa ulikuwa na wazo kama langu kwamba sasa wapinzani na hasa Chadema wako wengi mjengoni waanze na kulia na mabadiliko ya Katiba hadi NEC mapema lakini hii sasa kuja na style ya kejeli na names calling mh imenichanganya kiasi .
 
hujui hata unalotaka kuongea.


Sijui unamaanisha nani, Anyway unahitaji kutoa mawazo yako,you are entitled to your opinion,so do I and everbody else.If you have got the guts to pose a challenge just do it .It must be so boring being you. To think you would spend so much time digging up such worthless piece of thrash just to display it with your name proudly on top. Sorry sha....have fun on your own.

Sorry Waberoya,sikutaka kuingilia vibaya hii thread.
 
You can only have an impact when ure involved directly and not by throwing comments from abroad.You cannot change policies, oppose unfriendly CHADEMAs manouverings if you are a critic but you can if you positioned in the right place to influence decisions. CHADEMA needs good people in the Party and if we dont support genuine interests from good people, then why are we slating and condemning Jakaya kikwete?
 
Ukiona BABA anafanya makosa na wewe unaamua kwenda kumuadhibu Mtoto wake, itaonyesha kwa kiasi gani wewe una akili sana maana kwa kumwadhibu mtoto, kutaanza kumpa onyo kuwa asifanye kama baba yake mara atakapokuwa mkubwa huko mbele ya safari/maisha yake hapa duniani.

Ila nashindwa kuelewa, kwa vipi hicho kipigo kwa mtoto huyo mdogo, kitamsaidia baba kuacha tabia yake mbaya ya wizi.

Inawezekana mie IQ yangu iko chini sana. Ngoja niwaachie wenye IQ zao kubwa.
 
hapa sijui hata nichangie nini, either my mind is too mean to comprehend the argument brought forward or there is no significant connection between the title and the argument said to be supporting the title!
 
Waberoya your message is a bit harsh hata kama JF tuna amini katika haki ya kusema .Unaweza kuwa ulikuwa na wazo kama langu kwamba sasa wapinzani na hasa Chadema wako wengi mjengoni waanze na kulia na mabadiliko ya Katiba hadi NEC mapema lakini hii sasa kuja na style ya kejeli na names calling mh imenichanganya kiasi .

Sorry it is even better to talk like this!

Next time sitaki kupoteza kura yangu ambayo haitazaa wala kuleta faida yoyote kama hivi sasa.

wapinzani wawaze mabadiliko ya katiba na kuibadili NEC kwa nguvu zote kama ilivyokuwa kwenye kampeni.

Bila hayo tujaze tu post humu, maana hata wabunge bado ni wachachena bado lina sura ya chama kimoja. Lazima tujue wapi tumeanguka na chanzo nini ! tusiende kipofupofu!
 
Politics is more than we think and say

Money Maker ni kuwa idadi ya wabunge wapinzani inaongeza RUZUKU! it is clear on that

Msaliti kwa sababu Mission yake ya kutaka urais ilijulikana na yeye mwenyewe kuwa is impossible kwa NEC hii! what then was he thinking? tuseme mpaka ya ndani? Hivi nyie mnafikiri wanawaza kama nyie, haya sasa kakosa urais na sio mbunge then, atakula vipi?

Acha nionekane mbaya au whatever, say langauges you may like IT WAS ABSURD KUINGIA KWENYE UCHAGUZI HALI IKIJULIKANA NEC NI YA CCM, hivi vizazi vijavyo havitatucheka na IQ zetu hizi jamani?


I repeat, mabadiliko ya katiba yanahitaji gharama za kujitoa ambazo hakuna aliyetayari!! not SLAA, not cuf-bara, wote Lipumba ndiyo kwanza anajisifu fedha imeongezeka!!

Deep down it is like bussiness going on there! CHADEMA KAMA WANA MAWAZO YA KUSHIKA NCHI KAMA CCM, then wasahau ni wasaliti.CHADEMA KAMA WANATAKA KUIBADILI NCHI HII THEN WE HAVE TO LAY PROPER FOUNDATIONS!!!! tuseme mara ngapi japo tuko tayari kutukanwa butu I believe in logical moves!!
 
Ukiona BABA anafanya makosa na wewe unaamua kwenda kumuadhibu Mtoto wake, itaonyesha kwa kiasi gani wewe una akili sana maana kwa kumwadhibu mtoto, kutaanza kumpa onyo kuwa asifanye kama baba yake mara atakapokuwa mkubwa huko mbele ya safari/maisha yake hapa duniani.

Ila nashindwa kuelewa, kwa vipi hicho kipigo kwa mtoto huyo mdogo, kitamsaidia baba kuacha tabia yake mbaya ya wizi.

Inawezekana mie IQ yangu iko chini sana. Ngoja niwaachie wenye IQ zao kubwa.
Inawezekana tukafanana IQ hapo nami nitawaachia pia wengine lakini kwa kusema hivi kabla:

HAPO itakuwa ile riwaya ya KALUMEKENGE aliekataa KWENDA SHULE.. ILIKUWAJE AKAENDA SHULE? mlolongo wake ndio kama huo. MAMBO MENGINE HUENDA INDIRECT UJUMBE UKAFIKA. Kwani hata manabii WALITUFUNDISHA KWA MITHALI NA MIFANO si KWA UWAZI ili value ya NENO iwepo.:smile-big:
 
Jama yangunkaandika mengi lakaini hajui kaanznia wapi na kamazia wapi. Kiivyo CCM hawataki kutoka wamewekeza SANA wanatumia ikuru kibiashara, zaidi
Nia na lengo la upinzania kuleta changamoto tuu wasijasahau,
 
Hivi upinzani lazima uletwe na Chadema? Kama ndivyo Tanzania hakuna upinzani. Hata hivyo tunahitaji maisha bora zaidi ya tunavyohitaji upinzani, kama CCM wanaweza kutuletea maisha bora kwa watanzania.
 
Na wewe vile vile unahitaji civic education kwa sababu unatafsiri harakati kama "win-loose." Hujui kwamba harakati hizi ni long process na kila positive result inabidi ipongezwe. Soma maoni yangu kwa huyu aliye na mawazo kama yako:
https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/85711-dr-slaa-lau-angejua.html

Mkuu nimesoma thread yako hiyo, jamaa na mimi tunazungumza vitu viwili tofauti.

Nasisitiza kuwa kushinswa kwa upinzani ni sababu ya NEC, na katiba yetu, si unalijua hilo?? sasa uchaguzi ujao WAPINZANI lazima wahakikishe NEC inabadilika na katiba pia!!

huwezi kuzungumzia ushindani wakati hakukuwa na ushindani kwa matokeo ya NEC Slaa kaachwa mbali 'sana'
if and only if NEC walikuwa fair!!!! if NEC was not fair then ndio tunajadili kosa lilikuwa wapi?

Wapinzani walijua NEC watawapendelea? Seif alivyokuwa akilia Zanzibar na Mrema alivyolia mwaka 1995 Kweli wapinzani hawakujua kuwa NEC ni wauaji? hiyo civi education ni ndogo sana ukiliganisha na logic ninayoizungumzia mimi!!!!! you need to think logically!

Ndiyo maana nasema Slaa ni msaliti na aombe msamaha kwa watanzania, tulilisema hili na tulitukanwa sana humu , tena sana lakini tulijua kwa NEC watafanya wawezavyo kufanya walichofanya!!!!

Tukibadili NEC na katiba unachosema 'long process' hakipo! mwaka huu tungeshangilia Slaa kuingia Ikulu

HAKUNA LONG PROCESS KWENYE REVOLUTION, note than I dont mean violent here , I MEAN PROPER PROCEDURE BEFORE PARTICIPATING ANOTHER ELECTION! usichoelewa ni kipi? au unataka wote tuwe na mawazo yanayofanana!

civic education my foot!!! hii haihitaji elimu ni logic kama hujachEza mpira wa kichangani kaulize marefa huwa tunawapata vipi!!

Hoja yako inapelekea watu kutopiga kura na hii imeonekana hata mwaka huu, na katika analysis zetu tulilisema hili!!
 
Back
Top Bottom