Papy Tex: Msanii mwenye sauti ya dhahabu ambaye muda wote alijificha kwenye kivuli cha Pepe Kale

Ila kiukweli hapa sio kwamba Pepe alichemsha.....hivi Bileku na Pappy nani alikuwa mkubwa kikazi?...au kwa kuwa Pappy hakuwa na asili ya Congo?.
Kikazi Papy alikua mkubwa kwa Bileku japokuwa Bileku nae kitambo ndani ya Empire ila hampati Papy coz Papy ni co-founder wa Empire. Bileku yeye alijiunga na bendi akiwa na miaka 15 mwaka 1980.

Mimi nadhani Pepe alikua sahihi kutaka kumuachia bendi Bileku kwa sababu alikua mtu wa kujituma sana mbali na kipaji tofauti na Papy ambaye kipaji kiliongea zaidi na hakuwa na talanta ya uongozi.
 
Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.

Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?

Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.


View attachment 1822980



Kuna wimbo mmoja unaitwa mupenzi bupe ameimba kwa kiswahili daah alitendea kazi lugha hadhimu ya kiswahili
 
Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.

Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?

Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.


View attachment 1822980


Salute hapa Pikinikee Chuga Chingaa Salute kwake......abilengex2
 
Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.

Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?

Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.


View attachment 1822980


Mukulu salute...

Genta muzee ya Kijito Nyama Mukuyechuku LIMELUMA
 
Aisee Papy Tex pia kaimba kanda ya nini, kaliki na nyingine nimesahau ana sauti nzuri sana,
Unaambiwa Pepe Kalle alikua mzalendo kwa nchi yake hata kipindi cha vita hakuwahi kwenda kuishi nje ya nchi...
 
nimewawekea hapo nyimbo tano kali za Papy Tex ambazo kwangu ndio nyimbo ambazo haipiti siku kama sijasikiliza.

1. Musique Clarification
2. Sinitia
3. Bupe
4. Ibetibi
5. Mammie

Huu wimbo wa Bupe alimuimbia mwanamke mmoja wa kitanzania kabila mnyakyusa akiitwa Bupe. Video yake ilirekodiwa live wakati Empire Bakuba walipofanya ziara yao ya kimuziki nchini Tanzania.
Mkuu kama una ngoma ya Moyibi weka hapa
 
Back
Top Bottom