Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Mwenye mali kagawa urithi, Pappy ni Nani hadi aubishie urithi?Ila kiukweli hapa sio kwamba Pepe alichemsha.....hivi Bileku na Pappy nani alikuwa mkubwa kikazi?...au kwa kuwa Pappy hakuwa na asili ya Congo?.