Papuchi za kununua sio tamu

Dah,sjawai gonga ya kununua kiukwel,mi mwoga sana wa ngoma hata kama nivae mpira.
Umeshawahi kupima ngoma na huyo ambaye hakuuzi..,?? coz ambaye ni mpenzi kwako hakuuzi ila anauzia wengine....usipaniki ndiyo maisha yalivyo...
 
Huyo wako alikuwa 'malaya mchafu'. Hakuwa wale wa 'viwango'. Navojua hao ndo mhimili wa ndoa nyingi hapa mjini, wewe unadai eti hawafai.

Kuna malaya wenye viwango tofauti na bei zao zimetofautiana hivohivo.

Siku ingine jichange vizuri uingize viwanja vya heshima mkuu.
Hata nyanya zina gredi kule sokoni. Kuna masalu nk.
Masoko nayo yana gredi zake. Kisutu sio sawa na Buguruni.
Mnunuzi utanunua kufuatana na level yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom