Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
Mko wapi wapenzi wa Nguza Vicking na mwanae Pappy Kocha?
Mlikuwa mnasimamisha magari yenu mkiwaona wakipita, mlipeana mikono na kuwanunulia bia. Yap, mlifanya vyema sana. Sasa shilingi imepinduka, kama mlikuwa mnaona sura zao sasa oneni na visogo vyao.
Mwende mkawatembelee kwenye shida zao. Bia ni bei kubwa kuliko sabuni, wapelekeeni rafiki zenu sabuni ili waoge na kufua. Kawaangalieni rafiki zenu ili wafarijike.
Leo unapeta uraini, kesho itakuwa zamu yako kuwa mfungwa, jifunze kuwa rafiki wa kweli.
ACHA UNAFIKI NA UZANDIKI
Mlikuwa mnasimamisha magari yenu mkiwaona wakipita, mlipeana mikono na kuwanunulia bia. Yap, mlifanya vyema sana. Sasa shilingi imepinduka, kama mlikuwa mnaona sura zao sasa oneni na visogo vyao.
Mwende mkawatembelee kwenye shida zao. Bia ni bei kubwa kuliko sabuni, wapelekeeni rafiki zenu sabuni ili waoge na kufua. Kawaangalieni rafiki zenu ili wafarijike.
Leo unapeta uraini, kesho itakuwa zamu yako kuwa mfungwa, jifunze kuwa rafiki wa kweli.
ACHA UNAFIKI NA UZANDIKI