Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Kijana mmoja anayesoma form 6 mbeya(jina la shule halijapatikana) amekamatwa jana akimfanyia mdogo wake mtihani wa form 4 hapa mwembetogwa sec-iringa. Inasemakana alishafanya Geography,kiswahili na mathematics sasa jana alikuwa anamalizia english na ndipo msimamizi alimtilia shaka akamfuata na kumtaka atoe kitambulisho chake,hakuwa nacho na alipobanwa akakiri kuwa yeye si mwanafunz wa hapo ila anafanya kwa niaba ya mdogo wake. Polisi walichukua nafas yao kwa kumpga pingu na kuondoka nae... Hii inakaaje wadau. Source:mimi mwenyewe nimeshuhudia tukio zima