Paper imevuja/ a.k.a fake

Dio

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
1,274
158
Unakumbuka mishemishe uliyokuwa nayo unaposikia kuwa kuna paper imevuja?
Au tatizo gani ulikumbana nalo?
Tupeane hizo story hapa.
 
kwa vilaza ndio walikuwa wanahaha!
But sisi tuliokuwa Vipaji maalum...tulikuwa hatutaki kabisa kusikia huo upupu!
 
Haaaaaaaa feki waulize watoto wa azania na Mzizima kwa feki hao hawalali full kukesha kutafuta feki
 
Mi nlikuwa kichwa ikitoka paper naletewa niwafanyie niwape majibu,nilikuwa sihangaiki kabisa
 
Nashukuru mungu ameniepusha, sijawahi kukutana na fake, na sijawahi hata kujishughulisha kuzitafuta.
 
mi kazi yangu mida kama hiyo ndiyo nilikuwa natengeneza hela maana wajingawajinga wakishalipata walikuwa wanakimbilia kwangu niwasovie....kila swali nalichaji kutokana na ugumu wake.....
Mi nlikuwa kichwa ikitoka paper naletewa niwafanyie niwape majibu,nilikuwa sihangaiki kabisa
 
Kuna jamaa walipewa feki moja pale Nsumba Mwanza, wakaesha usiku kucha wanasovu, jamaa waliweka ulinzi wa nguvu alikuwa hasogei mtu asiye memba,asubuhi tumeingia kwenye pepa,pepa ilipogawiwa,tukasali wenye imani zetu na kumwachia mola atusaidie kukumbuka,vijana walikuwa wanafuta mikono na kukunja mashati ishara ya kwamba msimamizi anachelewe kugawa pepa.Baada ya pepa kugawiwa,tulishangaa kusikia miguno ya chini kwa chini na watu walikuwa wakitoleana machao ya "tumeingizwa mjini mwanangu" baada ya pepa yalikuwa ni maandamano kumtafuta aliyewapa,hawakufanikiwa kwani jamaa alishatia kibindoni chake na kutokomea.
Jamaa yangu mmoja alikuwa bright ile feki ilimshushia molali hadi kalamba 3 ya F VI
Feki bana,huwa nakumbuka mbali sana
 
Kuna jamaa walipewa feki moja pale Nsumba Mwanza, wakaesha usiku kucha wanasovu, jamaa waliweka ulinzi wa nguvu alikuwa hasogei mtu asiye memba,asubuhi tumeingia kwenye pepa,pepa ilipogawiwa,tukasali wenye imani zetu na kumwachia mola atusaidie kukumbuka,vijana walikuwa wanafuta mikono na kukunja mashati ishara ya kwamba msimamizi anachelewe kugawa pepa.Baada ya pepa kugawiwa,tulishangaa kusikia miguno ya chini kwa chini na watu walikuwa wakitoleana machao ya "tumeingizwa mjini mwanangu" baada ya pepa yalikuwa ni maandamano kumtafuta aliyewapa,hawakufanikiwa kwani jamaa alishatia kibindoni chake na kutokomea.
Jamaa yangu mmoja alikuwa bright ile feki ilimshushia molali hadi kalamba 3 ya F VI
Feki bana,huwa nakumbuka mbali sana

umenkumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka ilikua 2004 2kiwa 2napga paper ya 4m 2 enzi hzo,ebana 2kiwa nje 2najiandaa kuingia kwenye paper ya mchana{ilikua history}akaja mchzi flani akiwa na paper akasema wa2 wapge donation ye awavutie paper,bac wale wenye pesa zao wakachangashana harakahara me na mchzi wangu m1 hv 2likuaga ni wa2 ambao ha2naga pesa bahati mbaya,bac washkaji wakajtenga wote icpokua me na msela,u cn imagne hw t filz afu shule ya mixture,wel 2kapeana moyo na msela wangu kwangu 2maini le2 pekee ni mungu,c ukafka mda wa kuingia kwenye paper,washkaji wakawa na mchecheto wakuipga hyo paper wakidhan ndo kama ile waloisov,huwezi amin kuna jamaa alikua pemben yangu,ilimchukua takriban lisaa limoja kuanza kufanya huo mtiani,kumbe k2 ilikua tango pori,thanx God i ws the 1st one kwa hyo paper na msela wangu akawa wa pili 2kipishana max 1 tu.
 
Kuna jamaa walipewa feki moja pale Nsumba Mwanza, wakaesha usiku kucha wanasovu, jamaa waliweka ulinzi wa nguvu alikuwa hasogei mtu asiye memba,asubuhi tumeingia kwenye pepa,pepa ilipogawiwa,tukasali wenye imani zetu na kumwachia mola atusaidie kukumbuka,vijana walikuwa wanafuta mikono na kukunja mashati ishara ya kwamba msimamizi anachelewe kugawa pepa.Baada ya pepa kugawiwa,tulishangaa kusikia miguno ya chini kwa chini na watu walikuwa wakitoleana machao ya "tumeingizwa mjini mwanangu" baada ya pepa yalikuwa ni maandamano kumtafuta aliyewapa,hawakufanikiwa kwani jamaa alishatia kibindoni chake na kutokomea.
Jamaa yangu mmoja alikuwa bright ile feki ilimshushia molali hadi kalamba 3 ya F VI
Feki bana,huwa nakumbuka mbali sana

duh kweli ilikuwa noma
 
umenkumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka ilikua 2004 2kiwa 2napga paper ya 4m 2 enzi hzo,ebana 2kiwa nje 2najiandaa kuingia kwenye paper ya mchana{ilikua history}akaja mchzi flani akiwa na paper akasema wa2 wapge donation ye awavutie paper,bac wale wenye pesa zao wakachangashana harakahara me na mchzi wangu m1 hv 2likuaga ni wa2 ambao ha2naga pesa bahati mbaya,bac washkaji wakajtenga wote icpokua me na msela,u cn imagne hw t filz afu shule ya mixture,wel 2kapeana moyo na msela wangu kwangu 2maini le2 pekee ni mungu,c ukafka mda wa kuingia kwenye paper,washkaji wakawa na mchecheto wakuipga hyo paper wakidhan ndo kama ile waloisov,huwezi amin kuna jamaa alikua pemben yangu,ilimchukua takriban lisaa limoja kuanza kufanya huo mtiani,kumbe k2 ilikua tango pori,thanx God i ws the 1st one kwa hyo paper na msela wangu akawa wa pili 2kipishana max 1 tu.

hongereni vijana,hv huwaga zpo za ukwel au story tu?au kwa sababu ni fake na znakuwa fake kweli.
 
hongereni vijana,hv huwaga zpo za ukwel au story tu?au kwa sababu ni fake na znakuwa fake kweli.

dah!!mkuu,me ckuwahig kujihusisha nazo so ukwel siujui,ila 2kiwa 4m 6 2009 pale minaki,kuna tetesi kwamba kulikua na wa2 wanazo,na kwel vijana niliona wamelipuka na dv 1 kali kali so labda kuna ukweli ndani yake..
 
hongereni vijana,hv huwaga zpo za ukwel au story tu?au kwa sababu ni fake na znakuwa fake kweli.

zakweli huwa zinatokea mkuu, kama pepa ya geography form 4 ya 2004 niliyofanya mimi,section b yote ilikua kama ilivyoonwa jana yake nite na wenye pesa zao! Daaah..We acha2,.
 
zakweli huwa zinatokea mkuu, kama pepa ya geography form 4 ya 2004 niliyofanya mimi,section b yote ilikua kama ilivyoonwa jana yake nite na wenye pesa zao! Daaah..We acha2,.

daah mwaka wangu huo. Nakumbuka Photograph ilikua mbuyu wa Baobab matawi mengi hauna majani.
Mm nilipata hiyo sectn b tu mkuu. Nyingine zote famba. Bt nilipasua fresh tu mana nilikua mtu wa kitabu kwel kwel sikuwa nategemea hiyo miujiza ya fake.
 
daah mwaka wangu huo. Nakumbuka Photograph ilikua mbuyu wa Baobab matawi mengi hauna majani.
Mm nilipata hiyo sectn b tu mkuu. Nyingine zote famba. Bt nilipasua fresh tu mana nilikua mtu wa kitabu kwel kwel sikuwa nategemea hiyo miujiza ya fake.

hahahah...Duh! Hongera mkuu,,basi we kichwa! Mi nilikaza msuli tu kiaina nikaondoka na C. Hahah..Ambayo ilinisaidia kinoma nikaenda HGL ya ukweli...Daaaaah,those were days bhana! Mana wa2 wameona kitu unashangaa morning wanaimba baobab,baobab..Tunabaki tunashangaa,kuingia kwenye pepa mchana,unakutana na baobab...Unahis kudata!
 
hahahah...Duh! Hongera mkuu,,basi we kichwa! Mi nilikaza msuli tu kiaina nikaondoka na C. Hahah..Ambayo ilinisaidia kinoma nikaenda HGL ya ukweli...Daaaaah,those were days bhana! Mana wa2 wameona kitu unashangaa morning wanaimba baobab,baobab..Tunabaki tunashangaa,kuingia kwenye pepa mchana,unakutana na baobab...Unahis kudata!

hvi nyie ndo 4m 6 yenu ilifelishwa vibaya mwaka 2007.
 
Unakumbuka mishemishe uliyokuwa nayo unaposikia kuwa kuna paper imevuja?
Au tatizo gani ulikumbana nalo?
Tupeane hizo story hapa.

aiseee nakumbuka pepa letu la form 4, mwaka 2008, math ilivuja sana, hata mimi nililipata. Bahati yao mtiani uliahirishwa, la si hivyo ningepiga banda la nguvu.
 
Back
Top Bottom