PAPARAZI Joseph Senga atoa ushuhuda polisi walivyomwua Mwangosi

Kweli kuuwawa kwa mwangosi na hata mtu yeyote hakuna anayeshangilia. Mimi naamini hata aliyeua iwe kwa makusudi au bahati mbaya kwa sasa anajuta. Kitu kinachosikitisha ni kwamba watu wengi wanaitumia kupata umaarufu. Wengi wetu hatukuwepo eneo hilo ila kupitia wanahabari tumepata taarifa. Kibaya hapa ni wanahabari haohao wanakuja kila mtu na story yake. Mwingine kasema yeye alikuwepo pale ha hakumtaja mwandishi huyu kama alimwona na huyu anasema alikuwa pekeyake. Sasa tusitafute umaarufu kupitia mambo mabaya. Kilichotokea si kizuri kwa binadamu yeyote. Pia mwandishi huyu alisema aliamua kukaa kimya mpaka aliposhauriwa na wakuu wake.
Hii inaonyesha wazi waandishi wetu wanavyochagua habari za kutujulisha.
Ninajiuliza alikua anaficha nini au alikua anaogopa nini.
Kwa sasa taarifa imetoka nakumpeleka muuaji mahakamani yeye anaibuka.
Kaka mwandishi hayo uliyoongea sina la kukupinga kwani sikuwepo, ila napinga jinsi ulivyolitoa.
Kama ungesema yote mapema hata polisi wasingesema amepigwa na kitu kigumu.
Ulikuwa na masilahi gani kukaa kinya.
 
Kweli kuuwawa kwa mwangosi na hata mtu yeyote hakuna anayeshangilia. Mimi naamini hata aliyeua iwe kwa makusudi au bahati mbaya kwa sasa anajuta. Kitu kinachosikitisha ni kwamba watu wengi wanaitumia kupata umaarufu. Wengi wetu hatukuwepo eneo hilo ila kupitia wanahabari tumepata taarifa. Kibaya hapa ni wanahabari haohao wanakuja kila mtu na story yake. Mwingine kasema yeye alikuwepo pale ha hakumtaja mwandishi huyu kama alimwona na huyu anasema alikuwa pekeyake. Sasa tusitafute umaarufu kupitia mambo mabaya. Kilichotokea si kizuri kwa binadamu yeyote. Pia mwandishi huyu alisema aliamua kukaa kimya mpaka aliposhauriwa na wakuu wake.
Hii inaonyesha wazi waandishi wetu wanavyochagua habari za kutujulisha.
Ninajiuliza alikua anaficha nini au alikua anaogopa nini.
Kwa sasa taarifa imetoka nakumpeleka muuaji mahakamani yeye anaibuka.
Kaka mwandishi hayo uliyoongea sina la kukupinga kwani sikuwepo, ila napinga jinsi ulivyolitoa.
Kama ungesema yote mapema hata polisi wasingesema amepigwa na kitu kigumu.
Ulikuwa na masilahi gani kukaa kinya.

Sina nia ya kupingana nawe, lakini kitu kimoja nikuambie tu kwamba, wengi tunasikia hitoria ya maangamizi ya September 11 yaliyotokea nchini Marekani. Kwa aliyeshuhudia tukio lile kwa macho yake ni tofauti sana maelezo na mwenye kujitafutia umaarufu. Mfano mimi wakati huo nilikuwa nchini Marekani, nilikuwa umbali wa kurusha jiwe mara tatu au nne litatua ng'ambo yake tu Jersey City, ni kuvuka mto Hudson upo Manhattan ambapo jengo la World Trade Center lilisimama na jua linapozama kivuli chake tulikuwa tunakiona ndani ya mto huo Hudson. Sipendi kuyarudia binafsi na watu nilivyowaona wanataabika maana umaarufu wa binadamu ni pale amani inapokuwapo, nilichokumbuka siku hiyo ni mtazania mwenzangu ambaye tumekuwa kama ndugu alikuwa anafanya kazi bank moja block chache kutoka pale World Trade Centre nilimpigia simu na nilipojihakikishai yu hai na amevukia ng'ambo ya pili, moyo ulitulia na kubaki nahema na kufikiria yaliyojilia. Wengi walikuja kupata la kuongea baada ya siku kadhaa kupita.

Ndugu yangu kadiri ya maelezo yake Senga hata ungekuwa wewe tukio lile kwanza kuchomoka salama kutoka katika tukio lile akishuhudia mwili wa binadamu ukisamba vipandevipande, kwake anaweza kuona kama muujiza kwani baadhi walishoona amechukua picha za tukio lile. Picha hizo ndizo zilizowavua nguo polisi tukio lile, na kwa vyo vyote kibano walichopata hawa waandishi ni kuvujisha taswira za tukio, lo lote laweza kutokea, ndio maana tunaambiwa kikao cha Kamati Kuu ya Chadema wengi walilia machozi huenda shuhuda huyu ndiye aliyetoa maelezo ya hali halisi ilivyokuwa.

Katika tukio kama hili kunahitajika moyo wa kutoka kifua mbele kwamba umefunua ukweli, lakini si papo kwa papo kwani hujui kama wanatafuta kuiangamiza roho yako, kwani tukio lenyewe si la kumtangaza mhusika katika utendaji bora, bali mauaji ambayo yamekuwa kitandawili kwa muda mrefu. Jaribu kufikiria hiyo ndugu yangu unaweza kupata picha halisi kuliko kufikira tu kwa nini alichelewe kutoa habari. Ujumbe wake uliohitajika siku hiyo ulishatufikia ndo maana hatua hiyo imewavua nguo hadi wenyewe kujinadi mahakama.
 
Kweli kuuwawa kwa mwangosi na hata mtu yeyote hakuna anayeshangilia. Mimi naamini hata aliyeua iwe kwa makusudi au bahati mbaya kwa sasa anajuta. Kitu kinachosikitisha ni kwamba watu wengi wanaitumia kupata umaarufu. Wengi wetu hatukuwepo eneo hilo ila kupitia wanahabari tumepata taarifa. Kibaya hapa ni wanahabari haohao wanakuja kila mtu na story yake. Mwingine kasema yeye alikuwepo pale ha hakumtaja mwandishi huyu kama alimwona na huyu anasema alikuwa pekeyake. Sasa tusitafute umaarufu kupitia mambo mabaya. Kilichotokea si kizuri kwa binadamu yeyote. Pia mwandishi huyu alisema aliamua kukaa kimya mpaka aliposhauriwa na wakuu wake.
Hii inaonyesha wazi waandishi wetu wanavyochagua habari za kutujulisha.
Ninajiuliza alikua anaficha nini au alikua anaogopa nini.
Kwa sasa taarifa imetoka nakumpeleka muuaji mahakamani yeye anaibuka.
Kaka mwandishi hayo uliyoongea sina la kukupinga kwani sikuwepo, ila napinga jinsi ulivyolitoa.
Kama ungesema yote mapema hata polisi wasingesema amepigwa na kitu kigumu.
Ulikuwa na masilahi gani kukaa kinya.
Yeyote asingeweza kujitokeza mapema!!. Ni mshtuko wa kutisha!
Wewe huna haja ya kupinga!! ushahidi umetolewa hata kama waongo walioanza wataendelea kushikilia uwongo wao ni sawa tu!! lakini tumeona tumethibitisha na picha!! Acha sheria ichukue mkondo wake tuone!!
 
Hakika hakuna atakayesalia, kama alikuwa anategemea kustaaafu vizuri basi hapa kafika. Mahakama, tafadhali, yasije yakawa kama ya Zombe, makjifanya mnajua kuhukumu,hapa hatutokubali, tutaomba kwenda mbele zaidi. Ushaidi wote huu lakini IGP hata hajaamulu askari wote wahusika kuwekwa rumande, eti anasubiri kamati, nadhani wangewekwa ndani kwanza ili wasiharibu ushaihidi, hii nchi tunaenda wapi? Kwani hawawezi kuhojiwa wakiwa ndani tayari? inasikitisha sana.
 
kamuhanda atashitakiwa lini? ataachishwa kazi lini? na hukumu yake ni lini? kichwa kinaniuma sana na sijui kama haya yote yanawezekana maana kama watesaji walikuwa saba iweje ashitakiwe muuaji pekee? inamaana hao watesaji wao waliruhusiwa kisheria kufanya hivyo?
 
Hakika hakuna atakayesalia, kama alikuwa anategemea kustaaafu vizuri basi hapa kafika. Mahakama, tafadhali, yasije yakawa kama ya Zombe, makjifanya mnajua kuhukumu,hapa hatutokubali, tutaomba kwenda mbele zaidi. Ushaidi wote huu lakini IGP hata hajaamulu askari wote wahusika kuwekwa rumande, eti anasubiri kamati, nadhani wangewekwa ndani kwanza ili wasiharibu ushaihidi, hii nchi tunaenda wapi? Kwani hawawezi kuhojiwa wakiwa ndani tayari? inasikitisha sana.

Mbaya zaidi habari hizi zimeenea kila kona ya nchi, kila aendako anajulikana mwuaji, labda afanye jitihada kubadili jina vinginevyo damu itamlilia kila aendako.
 
Damu ya Mwangosi (RIP) inamlilia RPC Kamuhanda. Na kamwe haitamwacha mpaka anazikwa kaburini akakutane na Mwangosi huko ahera.
 
Hivi watanzania hatuko organized na waoga kiasi hiki. Hivi hatuwezi kuwashtaki hawa mahayawani wenyewe mshakamani mpaka tunawabembeleza kujishtaki. Mimi nafikiri ianzishwe movement ya kushtaki watu mama hawa. Gharama ya kesi watu tunaopenda haki tunaweza kujichangia wenyewe. tukisubiri wajishtaki watacheza tu na akili zetu. Serikali za kiafrika na nchi nyingi za kiimla polisi na mahakama ni kama mguu na mikono ya mtu mmoja. Sasa mkono utakata mguu. Haiwezekani. tuache kulalamika tuchukue hatua wenyewe.
 
sasa mbona umweka picha nusunusu? weka zote kama ilivyokuwa kwenye tanzania daima ya J2
 
Senga, Senga, Senga, Senga, umekwenda, Mungu aliamua akuweke hai mpaka hukumu itoke na mwisho amekuchukua, Senga umekwenda wadogo zako katika tasnia tukiwa na hamu ya kujifunza kutoka kwako.
Senga, Senga, kamsalimie Daudi Mwangosi, mwabie aliyemuua naye kahukumiwa jela miaka 15, kamwambie mazingira ya waandishi wa habari bado magumu. Nenda Senga, picha zako zinabaki kuwa rejea ya mafunzo ya uandishi wa habari katika mazingira hatarishi.
 
Back
Top Bottom