samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Hao ndio wenye DSM yao.. Hao ndio walisababisha watu waone bongo movie, bongo fleva, dance music, utangazaji na uandishi wa habari vionekane vinalipa. Wakinadada na makaka wa Bongo movie hao ndio walikuwa wawezeshaji wao mjini kuanzia kwaazima magari, majumba makali makali ya kuchukulia movie.. Ila majamaa wamewavua sana chupi hawa madada wa Bongo movie kifupi bongo movie ilikuwa ndio dangulo lao..Madada wameliwa sana "channel 0" mpaka aibu na wengine kuishia kupewa magari ya wizi, magari bila kadi.. Kuna mademu ukimiliki basi jua umeliwa maana hao wakiwahitaji muda wowote wakati wowote na mahala popote lazima waende...