mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,099
- 104,530
Mzee wake huyo ila AlishavutaHuyo muhingo rweyemamu ana udugu na yule aliekua msigwa wa JK au kuna kadoti nmeunga
Aliongozaga halmashsuri moja hvi
Mtoto wake ndy wakili
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wake huyo ila AlishavutaHuyo muhingo rweyemamu ana udugu na yule aliekua msigwa wa JK au kuna kadoti nmeunga
Mkuu tafuta yule mwandishi alieshikia bango uuzaji wa nyumba za serikali ambae naskia Leo huyo muuzaji ni mkubwa tu then utaona dogo kayakanyagaMzee wake huyo ila Alishavuta
Aliongozaga halmashsuri moja hvi
Mtoto wake ndy wakili
Ova
na kafurahi anarudi kule hamna shughuli nyingi na mishe anaenda kupumzika.Anatabasamu mwenyewe
Kuna wenye heshima na pesa na waliokua na nyadhifa zaidi ya huyu jambazi bado wako ndani. Itakua huyu ambae ngoma baado kabisa. Ogopa kitu inaitwa kutakatisha fedha.Watatoka hao
Ova
Noma sana!Na zalaa wapi Papa Musofe mutu iko na pesa mingi,
Wamechelewa sana kumshuhulikia alikuwa bado yeye kuishi kama shetani,ni moja ya ahadi Mweshimiwa
ItapendezaKuna wenye heshima na pesa na waliokua na nyadhifa zaidi ya huyu jambazi bado wako ndani. Itakua huyu ambae ngoma baado kabisa. Ogopa kitu inaitwa kutakatisha fedha.
Kwa hivyo kaka mkuu huyu bwege asahau pombe za pale Regency na wale malaya gorofa ya 8 Regency.
Unatumia Tekno ama hujui kuandika?KUNA KIWANJA KA SIS MMOJA TULIWHAI PAMBANA AISEE DAH PALE WIZARANI ALIKUWA KAMA N WAZIRI ULEMTANDAOOO JEMBE KAFUMUAKILAMTU WAKO GEITA KATVI MARA TARIME WENGINE NAHISI WALIACHA KAZI WALISAMBARATISHWA
hiyo picha imepigwa zaidi ya miaka saba iliyopita,haihusiani na habari hiiAnatabasamu mwenyewe
sijawahi ingia hicho kiwanja,ngoja nitatembelea one dayWa hovyo tu. Nilikua pale no.8 siku moja. Kila papaa anaekuja anawabusu busu la mate. Disgraceful
Muhingo Rweyemamu amefariki kitambo, we unachanganya na Salva Rweyemamu, japo Muhingo na Salva wote walikua team Jk, Muhingo alifariki akiwa ametemwa na JPM ukuu wa Wilaya! Salva alidondoka nafasi ya DPC..ya msigwa wa Sasa!Huyo muhingo rweyemamu ana udugu na yule aliekua msigwa wa JK au kuna kadoti nmeunga
Ukionekana maeneo yale kaka mkuu, kila anaekuona anahisi na wewe ni mtu wa madili, jambazi au malaya. Tafuta sehemu tulivu ule vya halali kihalalisijawahi ingia hicho kiwanja,ngoja nitatembelea one day
ahaaa!!,nilitaka nikaone kama mademu wa pale ni wakali?Ukionekana maeneo yale kaka mkuu, kila anaekuona anahisi na wewe ni mtu wa madili, jambazi au malaya. Tafuta sehemu tulivu ule vya halali kihalali