maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,512
southYuko wapi Alex Massawe?
southYuko wapi Alex Massawe?
oiKama msofe ni wewe siku zako zinahesabiwa.
uyu wakulia nani?Ndio huyo kati kati akimwaga alichovuna:
Msofe bado ana investments nyingi sana, network yake around the globe(I mean business associates) wapo na huwa hawatupani.sidhani Kama Wana hela tena ya kutamba mtaaani
Pesa za SEMBE.Msofe bado ana investments nyingi sana, network yake around the globe(I mean business associates) wapo na huwa hawatupani.
Ni full-time hustler na mtaji wake namba moja ni kichwa hivyo usitegemee kumuona level za mavumbini, ukiona mtu anatengeza michongo na kupiga pesa ndefu lakini inashindikana kupata ushahidi solid wa kumfunga ujue hicho ni kichwa.
Kesi ya kubumba waliyompachika wameshindwa kumfunga.
Kikubwa uwe nauwezo wakuwachonganisha mawakili wapande mbili ,unashindakesi kweupemsofe alishinda kesi
Uso wa jizi utaujua tu!!Majunguuuuuuuuuuuuu...........kila mtu akiwa hana kitu ndio anaonekana Muungwana
Naikumbuka hii!!Alimpeleka NRB au Mombasa akampa mshiko wake kabisa acha mtoto ajitume usiku kucha ghafla majambazi yakaingia lodge yakapora pesa yote kumbe ni washikaji zake Msofe,yaani ilikuwa nouma!
Subhaana lllaaah!!!Nawapa true story jinsi walivyo mliza rafiki yangu wa karibu toka arabuni. Rafiki alikuja nchini na akataka kununua dhahabu. Akaenda kwa sonara pale k'koo, sonara akampa contact za hussein na Msofe. Akawapigia simu wakamuomba aonane nao kndoni- vijana(mimi hakunishirikisha). Akiwa vijana nilimpigia simu nikashangazwa na yeye kuwa eneo lile kwa ni simuendaji wa baa na hapendi kwenda sehemu zenye kelele. Punde nika mfuata nika kuta anagana na Msofe + rafiki yake. Kumbe walikuwa wamemaliza mazungumzo ya biashara na walikuwa wamekubaliana kuwa watamuuzia dhahabu kilo 20. Alikaribishwa ofisini kwao na kuoneshwa dhahabu yenyewe na akashuriwa achukue kidogo akahakiki kwa sonara, alifanyahivyo. Baada ya kuhakiki alilipa na wao walikubali kulipa mrahaba wa mamlaka ya madini(30%). Sanduku lifungwa kwa kufuri aliyonunua huyo mnunuzi na kuwekewa seal ya stamico. Wauzaji walimshauri aliache sanduku aje alichukue wakati wa kwenda aeroport- alikubali. Siku ya safari alikuja kuchukua sanduku lake, alipofika walimuomba ajiridhishe kuwa sanduku lake ni lenyewe- alihakiki: MCHEZO ULIPOFANYIKA: wakati anataka kutoka husein alimuanzishia story juu ya future cooperation na wakati huo akaita walinzi wabebe sanduku(sanduku likabadilishwa). Mteja (1afiki yangu) akaondoka. Alipofika arabuni alikuta kwenye sanduku kuna vipande vya nondo. Aliwapigia simu kuuliza kulikono- wakawa wakali kuwa wao ni watu safi wanaoheshimika na washika dini kwa hiyo hawawezi kufanya mchezo huo.
Watapata hao watu wa mishesidhani Kama Wana hela tena ya kutamba mtaaani
Kwani alikamatwa awamu ya Magufuli?Aise mzee magufuli aliwaweza wapuuzi wote hawa
Msofe akiuza kiwanja chake kimoja tu Mikocheni bendi zote zitampamba.Watapata hao watu wa mishe
Ndio inaitwa biashara ya kuwafunga maboya midomo ili wasisanuke .nachofaham_jamaa anafanya biashara ya kokoto, mchanga na kifusi pale kunduch na ameanza kama dalali lakn alipata kubwa akanunua lori na kwa kwel ni mchapakaz_sasa kafungua ofis na kaongeza malori, anapenda sana misifa hasa kupaishwa kwny muziki. Ni opportunist wa maana
Kama hujui mambo ya town yaache kama yalivyo, Msofe ni hustler yeah lakini kwenye sembe hayupo na wala hajawahi kuwepo.Pesa za SEMBE.
Alimpeleka NRB au Mombasa akampa mshiko wake kabisa acha mtoto ajitume usiku kucha ghafla majambazi yakaingia lodge yakapora pesa yote kumbe ni washikaji zake Msofe,yaani ilikuwa nouma!
Balaa kabisaa Irene enzi hizoo alikua hot balaa!kipindi hiko huduna za mpesa ndo ziko mwanzoni kabisaKumbe wadangaji/malaya nao wanakutanaga na mambo mazito kiasi hicho?!
Yani nimecheka kwa sauti kubwaaaa
Kwa hiyo kutaka kwake dau kubwa kaishia kuliwa bure
Kumbe wadangaji wanakutana na mengi?!
du hii post nilipost ten years ago...leo watu wanalike...legend lives!papaaa musofe duuuuh hawa jamaa crew yao imeisha nguvu siku hz..........sio kama zamani miaka ya 2000-2008
Mkuu wewe unamuongelea ntenze wa ntenze...mzee wa kokoto....!nachofaham_jamaa anafanya biashara ya kokoto, mchanga na kifusi pale kunduch na ameanza kama dalali lakn alipata kubwa akanunua lori na kwa kwel ni mchapakaz_sasa kafungua ofis na kaongeza malori, anapenda sana misifa hasa kupaishwa kwny muziki. Ni opportunist wa maana