Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
marijani msofe!!!hivi huyo papa msofe jina lake halisi ni nani? nauliza ili niweze kumuepuka nikikumbana naye maana anaonekana kuwa ni mtu hatari sana
marijani msofe!!!hivi huyo papa msofe jina lake halisi ni nani? nauliza ili niweze kumuepuka nikikumbana naye maana anaonekana kuwa ni mtu hatari sana
usemi wako unatimiasasa ameanza kutapeli wazawa hii mbaya sana yy aendelee kutapeli wa wekezaaji feki atuna shida nae lakini akianza kutapeli wazawa siku zake zitahesabika soon
Mkuu hakuna tofauti yoyote kati ya Mahita na huyu wa sasa, wote wako kwenye MGAO (PAYROLL) ya hawa matapeli! Mbaya zaidi hawa wadogo wakileta fyoko, jamaa anampigia Mahita, na Mahita anatoa maelekezo, soo linazimwa (si unajua vyeo vya kijeshi/kipolisi hata ukistaafu bado unaheshimiwa na wale walio na vyeo vya chini?)!
Yaani Polis na manyota yao wanapewa amri na Tapeli ! kumbe sawa na dume la miraba minne lakini shoga ! funkuro !