Papa Francisco aridhia ombi la Askofu Telesphor Mkude wa Jimbo Katoliki Morogoro kung'atuka kutoka madarakani

Idadi ya washarika imeongezeka kwa wingi.. Majengo yanalemewa.. Piga picha pale Morogoro mjini kuna Wakatoliki zaidi ya laki mbili.. Je, sharika zilizopo pale Moro mjini zina uwezo wa ku accomodate waumini wote, iwapo wote wataamua kuhudhuria kwenye misa? Jibu ni hapana.. So kanisa linapaswa lihakikishe linakuwa na majengo ya kutosha ku accomodate angalau 75% ya waumini iwapo wote wataamua kuhudhuria ibada kwa siku moja.. Jiwekeeni lengo la kufikia huko.
Jumuiya msizifanye minyororo kwenye shingo za waumini.. Baseline standard ni 'Kuikumbuka siku ya Bwana na kuitakasa', yani Jumapili. Kuwalazimisha waumini na kuwa sanction wasio sali kwenye jumuiya Jumamosi huwa mnaitoa kwenye Biblia gani? Kwa nini mnaenda nje ya scope na kutaka kuligeuza kanisa kuwa kama la Kisabato?
Aiseee. mkuu nakushauri pumzikaaaa. Achaaaa kusema vitu ambavyo hata si vya kanisa lako. You know nothing kabisa. Unajichoresha sana. Stick na kanisa lako. Aliyekuambia hiwa ibada ni moja ni nani? Sharika sharika sharika sharika. Mbona nyie mumegeza mambo ya jumuiya? Na unajua lengo la jumuiya haswa ukiacha hii michango? Na wajua kama jumuiya ndiyo sehemu kubwa kabisa na pekee ambapo michango hukusanywa kirahisi? Ama ulifikiri tunaenda kumpelekea paroko? Na hiyo idadi ya laki 2 umeitoa wapi? Na ni kanisa gani hapa tz lina accomodate waumini laki 2 kwa pamoja? Pumzika aisee
 
Katoliki hiihii ina upungufu wa majengo??labda hayo makanisa yenu ya mabati..
.
Na jumuiya ni utaratibu wa muda sana sio ishu ya majengo ficha chuki zako na upumbavu wako
Yaan miaka ya early 90s nimekuta tunasali jumuiya. Na ukute hata hizi jumuiya tunazo kabla hata masalia haijazaliwa
 
Idadi ya washarika imeongezeka kwa wingi.. Majengo yanalemewa.. Piga picha pale Morogoro mjini kuna Wakatoliki zaidi ya laki mbili.. Je, sharika zilizopo pale Moro mjini zina uwezo wa ku accomodate waumini wote, iwapo wote wataamua kuhudhuria kwenye misa? Jibu ni hapana.. So kanisa linapaswa lihakikishe linakuwa na majengo ya kutosha ku accomodate angalau 75% ya waumini iwapo wote wataamua kuhudhuria ibada kwa siku moja.. Jiwekeeni lengo la kufikia huko.
Jumuiya msizifanye minyororo kwenye shingo za waumini.. Baseline standard ni 'Kuikumbuka siku ya Bwana na kuitakasa', yani Jumapili. Kuwalazimisha waumini na kuwa sanction wasio sali kwenye jumuiya Jumamosi huwa mnaitoa kwenye Biblia gani? Kwa nini mnaenda nje ya scope na kutaka kuligeuza kanisa kuwa kama la Kisabato?
Mkuu hii ni takataka
 
Mkuu hujaisoma vizuri biblia, ni vyema ukatafuta msaada usaidiwe
Mkuu, Biblia nimeisoma karibu yote tena ile ya vitabu 99, kama mistari nimeiruka basi itakuwa michache michache.. Pia nimesoma sehemu kubwa ya supplementary books kama vile, John Gills exposition of an entire Bible, Dramatized audio bible na sasa naendelea kusoma mstari mmoja ila kwa perspectives ya version nyingi za Biblia ya kingereza kama inavyoonekana kwenye screen shot.
Screenshot_20201231-003116.png


Screenshot_20201231-004044.png
 
Uaiposali jumuiya hupati huduma yeyote ya kanisa

Hizi ishu hizi

Mfano Mimi huwa najitahidi sana nihudhurie church Ila huko jumuiyani sinaga mzuka nako

Ila ndio hivyo unawekwa blacklisted
Na kusali jumuia huwa tunakaribisha wambeya wengi majumbani,ni sawana kulazimishana kuwa na urafiki na mtu usiyempenda,hata Lutheran nao tayari wameiga haya ya jumuia,kinachoshangaza wote mnaokutana kwenye jumuia ni wale ambao mnasali pamoja kanisani siku ya Jumapili. Kwa hili la jumuia ni usumbufu tu kwa wana kondoo ambao wanataka kupumzika siku ya Jumamosi,kama kukutana inatosha kukutana huko huko kanisani.
 
Wakatoliki naomba mnijibu 1.Padri wa RC anastaafu akiwa na miaka mingapi?

2.Kwanini askofu anazikwa Kanisani,baada ya miaka kadhaa kanisa si linaweza kujaa makaburi ya maaskofu?
 
Mkuu, Biblia nimeisoma karibu yote tena ile ya vitabu 99, kama mistari nimeiruka basi itakuwa michache michache.. Pia nimesoma sehemu kubwa ya supplementary books kama vile, John Gills exposition of an entire Bible, Dramatized audio bible na sasa naendelea kusoma mstari mmoja ila kwa perspectives ya version nyingi za Biblia ya kingereza kama inavyoonekana kwenye screen shot.
View attachment 1663376

View attachment 1663382
Ok hongera sana kwa juhudi hizo mkuu. Unaufahamu mstari unaosema "Mimi ndiye njia, ukweli na uzima"? Basi kama unaufahamu unaamini kuwa popote penye ukweli pana Yesu Kristo! Sasa ukweli hauwezi kupindishwa popote pale ulipo. Ukiacha hao kina John Gills, umesoma waandishi wangapi wa Kikatoliki wakichambua Biblia au tu vitabu vingapi vya Kikatoliki? Unaogopa ukivisoma utagundua ukweli na unauogopa ukweli au ni umeambiwa na binadamu mwenzio usivisome huna uwezo wa kuchambua ukweli na uongo?
 
Sihitaji kujua chochote kuhusu dini nyingine.. Napaswa kujua maandiko ambayo nimeyasoma kwa kuyarudia rudia mara nyingi.. Maandiko yanasema kwenye amri kumi za Mungu, ' Ikumbuke SIKU ya Bwana na kuitakasa! Kwanini kanisa liwawekee vikwazo waumini ambao wameamua kutoikumbuka siku isiyo ya Bwana yani Jumamosi? Hizo standard mmezitoa kwenye Biblia ipi?
Endelea kutokula kambale na mbuzi wetu pendwa usijifanye kuukosoa ukatoliki
 
Aisee mkuu wewe ni muongo sana. Kuna taasisi yenye makanisa kama RC? Yaan wewe ni muongo mno. Na ni wapi hapo uliposikia ama kuona rc wanasali kwa watu? Kuna taasisi yenye pesa kama RC?
Bila shaka utakua mluther mkuu maana umetumia neno sharika. Punguza uongo. Nyie ndo mnaanza kuanka sasa hivi almost kwa kila kitu leo hii ndo wa kutushauri nyie? shule na hospital sindo mnaanza anza kujenga nyie? Na hata kusikika hazisikiki bado?
Huyo siyo mlutheri ni wale wapinga kambale, Bata, na mbuzi wetu pendwa
 
Na kuna Askofu Norbeti Mtega wa Jimbo Kuu Songea,nae ni muda mrefu sasa nilisikia alitolewa na kupelekwa Njombe kwenye nyumba ya uangalizi baada ya kuwa na kashfa ya kuzalisha wadada,sijui kama ni kweli nilisikia tu
Kwa kweli hawa wachunga kondoo halafu wanawatafuna Ni noma kwakweli bora wangekula nyasi,,,,,Gwajiboy a k a mbung'o wa Kawe
 
Kanisa Katoliki bado lina changamoto kubwa ya upungufu wa majego.. Waumini mpunguze ubahili mtoe pesa mjenge sharika muache kusalia majumbani kwa watu.. Uvivu wa kujenga majengo umepelekea kugeuza nyumba za watu kuwa makanisa kiasi kwamba wasioupenda utaratibu huo wa jumuiya mnawanyima huduma za kikanisa kama vile ubatizo ambao Bwana wetu Yesu Kristo aliuleta kwa watu wote bila masharti.. Hii kwa mtazamo wangu, si sawa!
Jumuiya siyo kwa sababu ya kukosa majengo bwashehe.Ni kufahamiana,kusaidiana na kujenga umoja katika Kristu kama ambavyo yeye alivyokuwa ameshikamana na wale Thenashara.Au nasema uongo ndugu zangu!
 
Back
Top Bottom