Papa Francis na Wanaanga: Binadamu tumetoka wapi na tunaenda wapi?

Kwa Geat Thinker kama wewe suala kuwa tu ni tetesi ingetosha kuwa fursa ya wewe kufanya utafiti ili uje na uyakinifu na hivi kuongeza kiwango chako cha kuwa Msanifu wa Mawazo na mambo yasiyo ya kawaida.Hiyo tu kufanya utafiti kuthibitisha kama yuko Jehanamu ingetosha kuwa awarded PhD.
Mkuu nimepitiaa na nikatafitu
Lakin kwa swala la imani!!
N ngumu sanaaa kuelewa na kuamini!!!
Narudia kwa swala la imani n NGUMU kuelewa na KUAMINI.
Coz nilisomaga jarida la MTU anayesemekana alienda mbinguni&kuzimu
Ndo akakutan na huyo.
Sasa hapo mkuu unanisaidiaje
 
Kwa Geat Thinker kama wewe suala kuwa tu ni tetesi ingetosha kuwa fursa ya wewe kufanya utafiti ili uje na uyakinifu na hivi kuongeza kiwango chako cha kuwa Msanifu wa Mawazo na mambo yasiyo ya kawaida.Hiyo tu kufanya utafiti kuthibitisha kama yuko Jehanamu ingetosha kuwa awarded PhD.
Mkuu nimepitiaa na nikatafitu
Lakin kwa swala la imani!!
N ngumu sanaaa kuelewa na kuamini!!!
Narudia kwa swala la imani n NGUMU kuelewa na KUAMINI.
Coz nilisomaga jarida la MTU anayesemekana alienda mbinguni&kuzimu
Ndo akakutan na huyo.
Sasa hapo mkuu unanisaidiaje
 
Majawabu utapata lakini lazima yawe ya uongo upende usipende.

Siku utakapo ondoka ndipo utakapo kuja(siku utakapo kufa ndipo utakapoamka).

Hapo wanachotafuta ni Uongo hakuna watakaloongea hata moja la ukweli.

Kinachoendelea duniani ni kuwahadaa watu kwa uongo uliovuka mipaka.

Kwa hiyo Sayansi ni uongo? Kumbe hata wewe haupo duniani muda huu?
 
Mkuu nimepitiaa na nikatafitu
Lakin kwa swala la imani!!
N ngumu sanaaa kuelewa na kuamini!!!
Narudia kwa swala la imani n NGUMU kuelewa na KUAMINI.
Coz nilisomaga jarida la MTU anayesemekana alienda mbinguni&kuzimu
Ndo akakutan na huyo.
Sasa hapo mkuu unanisaidiaje

Kama huyo jamaa mtafiti aliweza kufika Mbinguni na Motoni na kufanya utafiti na kuandika report basi inawezekana nawe unayo nafasi ya ku-prove hiyo hypothesis. Hata imani kwa Mungu ina testing na proof. Ikiwa Sayansi imeumbwa na Mungu na ikawekewa njia za proof hali kadhalika hata mambo ya kiimani yaweza kuwa tested. Kazi kwako.
 
Mkuu sayansi siyo zingaumbwe.. hata wewe kifaa unachotumia kuandika ujumbe huu ni matokeo ya ugunduzi wa sayansi sasa unasemaje sayansi ni uwongo
Huwezi elewa kwa ubongo wa Nyama.

Watu wanaandika kwenye anga kwa kidole wewe unazungumza habari ya simu.

Sayansi ni chembe ndogo ya Ujuzi ambayo imejazwa uwongo mwingi.

Kwenye sayansi;
Uwongo=98%
Ukweli= 2%.

Utakapokufa ndipo utakapo amka.
 
Muhimu zaidi ni maswali yaliyoulizwa na majibu yaliyotolewa kuliko kujua huyu ni mla kiti moto au la; ni vegetarian au sio. Kwani platform ilikuwa mafundisho ya Kanisa Mkuu? Wala hawakuwa "Sunday school".
sijapata fundisho ktk hayo mazungumzo ndio maana ikabidi nijiulize maswali hayo.
kwa mtazamo wako, umetoka na nini katika mazungumzo hayo au unadhani hao wanasayansi wamejifunza nini.
msaada sio wote tunauelewa sawa wa mambo
 
Kama huyo jamaa mtafiti aliweza kufika Mbinguni na Motoni na kufanya utafiti na kuandika report basi inawezekana nawe unayo nafasi ya ku-prove hiyo hypothesis. Hata imani kwa Mungu ina testing na proof. Ikiwa Sayansi imeumbwa na Mungu na ikawekewa njia za proof hali kadhalika hata mambo ya kiimani yaweza kuwa tested. Kazi kwako.
Nipo neutral
Imani hataree kiongozi
 
Huwezi elewa kwa ubongo wa Nyama.

Watu wanaandika kwenye anga kwa kidole wewe unazungumza habari ya simu.

Sayansi ni chembe ndogo ya Ujuzi ambayo imejazwa uwongo mwingi.

Kwenye sayansi;
Uwongo=98%
Ukweli= 2%.

Utakapokufa ndipo utakapo amka.
Mkuu nafikiri unafungamana na imani fulani
 
Kwa hiyo ni uongo kwamba ukipanda Mwendokasi kutokea Kimara huwezi kufika Kariakoo na hata kuunganisha kwenda Kivukoni?
Unaweza ukapanda mwendokasi kutoka ubungo mataa mpaka kariakoo usifike kwa miaka 100 wakati huo huo akatembea kwa mguu akafika kwa dakika moja. Unaamini hilo
 
Mkuu nafikiri unafungamana na imani fulani
Imani ndio hufanya watu waishi sio sayansi wala upuuzi wowote.

Sayansi huhitaji macho,masikio, pua, ulimi, ubongo n.k. Bila hivyo hakuna sayansi. Huwezi gundua kitu bila ya milango ya fahamu.

Hapo ndipo sayansi inaingia dosari.
 
Mkuu nafikiri unafungamana na imani fulani
Kwa ufupi Sayansi ni Kinyume na imani. Na ni Mbadala kwa imani. Kama vile Usiku na Mchana.

Mbingu na ardhi. Ndivyo sayansi na Imani vilivyo.
Sayansi=Uwongo.
Imani= Ukweli.

Sayansi huhitaji muda mrefu kama vile uwongo ili iweze kukamilika. Lakini Imani ni papo kwa papo. Kama ukweli.

Sayansi huhitaji mchakato(process) lakini imani haihitaji mchakato.

Haya mambo ni mpaka uFikiri sana au ufe ndipo uyajue
 
sijapata fundisho ktk hayo mazungumzo ndio maana ikabidi nijiulize maswali hayo.
kwa mtazamo wako, umetoka na nini katika mazungumzo hayo au unadhani hao wanasayansi wamejifunza nini.
msaada sio wote tunauelewa sawa wa mambo
Ndio maana nikasema muhimu zaidi ni maswali yaliyoulizwa na majibu yaliyotolewa - yawe educative au la (pumba) ndio la muhimu zaidi kuliko kujua wahusika wanamwamini Mungu au hawamwamini. OK, suppose ukiambiwa wanamwamini au hawamwamini ingebadilisha vipi context ya hayo mazungumzo?
 
Mbona hilo swali hata mimi najiuliza kila siku. What so special about that?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom