Isije kuwa kale kamchezo maarufu ka Vatikan.
Heshimu imani ya wenzako ili na yako iheshimiwe.
Isije kuwa kale kamchezo maarufu ka Vatikan.
Huyu Pope anatesa kweli walinzi.Anataka kuwa mtu wa kawaida huku akishika nafasi kubwa sana.
Hata Yesu aliwatoroka sana wanafunzi wake mpaka siku moja wakati wanamtafuta wakamkuta kisimani na yule mama msamaria na inasemekana wanafunzi wali-dought kwamba alikua anmuimbisha yule mama
Daaaaah...........Mbavu zangu jamani........inafikia hatua kila nikifiri hii post yako nacheka peke yangu watuwananishangaaa......JF jamaniiiiiiiiii.........acha tu
Isije kuwa kale kamchezo maarufu ka Vatikan.
vatican kuna masikini,ombaomba,duh?
Jini Maimuna liko kazini!Isije kuwa kale kamchezo maarufu ka Vatikan.
Vatikan ipo ndani ya jiji la Rome, Italy, na hakuna jiji duniani ambalo halina maskini na ombaomba. Ukitaka kutofautisha na shambani, ombaomba na maskini wako mijini kuliko shambani. Tembelea majiji yote duniani kama hutakutana na ninachokuambia utakuwa hujafanya uchunguzi wa kutosha na umetalii kwenye mahoteli ya maselebrete kama Faster Jet, aka Vasco da Gama.
kwenda kuwapa misaada maskini maeneo ya vijiji
Jini Maimuna liko kazini!
ngojeni kama haijaja habari kuwa anaendaga club kujirusha basi watoto wa vatican wapo kwenye wakati mgumu kama yale mambo ya seya wa mivalo
Hata Yesu aliwatoroka sana wanafunzi wake mpaka siku moja wakati wanamtafuta wakamkuta kisimani na yule mama msamaria na inaonekana wanafunzi wali- doubt kwamba alikua anamuimbisha yule mama