Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 695
"Pope Benedict XVI has condoned the use of condoms in exceptional cases in a move described as an historic shift for the Roman Catholic Church.
In a new book – excerpts of which appeared in the Vatican newspaper – he says condoms are not a moral solution, but can sometimes be justified to stop the spread of infection.
The book is based on a series of interviews the Pope gave earlier this year.
...
The Pope says male prostitutes could use condoms as a "first step towards moralisation". But he adds they are "not really the way to deal with the evil of HIV infection." His comments have been welcomed by health campaigners, who have long criticised the Vatican's hardline stance on contraception."
Chanzo: Pope says use of condoms can be justified | euronews, world news
Kumbe mambo yanatokea!
Sasa watashangaa wengi waliowahi kumtukana baada ya taarifa kuhusu alichosema kuhusu kondomi kwenye ziara yake kwenda Afrika eti matumizi yao hayawezi kusimamisha UKIMWI suluhisho ni uaminifu tu.
Na watashtuka wengi waliopiga makele kwa kudai kondomi zinaleta UKIMWI , hao wachomaji na wengine wanaodai hazina faida yoyote.
Tena alichagua mfano utakaoshtusha wengi: heri washoga waitumie badala ya kufanya ngono bila kinga.
In a new book – excerpts of which appeared in the Vatican newspaper – he says condoms are not a moral solution, but can sometimes be justified to stop the spread of infection.
The book is based on a series of interviews the Pope gave earlier this year.
...
The Pope says male prostitutes could use condoms as a "first step towards moralisation". But he adds they are "not really the way to deal with the evil of HIV infection." His comments have been welcomed by health campaigners, who have long criticised the Vatican's hardline stance on contraception."
Chanzo: Pope says use of condoms can be justified | euronews, world news
Kumbe mambo yanatokea!
Sasa watashangaa wengi waliowahi kumtukana baada ya taarifa kuhusu alichosema kuhusu kondomi kwenye ziara yake kwenda Afrika eti matumizi yao hayawezi kusimamisha UKIMWI suluhisho ni uaminifu tu.
Na watashtuka wengi waliopiga makele kwa kudai kondomi zinaleta UKIMWI , hao wachomaji na wengine wanaodai hazina faida yoyote.
Tena alichagua mfano utakaoshtusha wengi: heri washoga waitumie badala ya kufanya ngono bila kinga.