pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Karibu sana nikuozeshe kisheria wala usijali"Alimuoa kisheria"
Muhammad alimchukua Aisha kwao akiwa na miaka sita (6) na kuanza kumuingilia kingono akiwa na miaka tisa (9) je ni sahihi mtoto wa miaka sita kuozeshwa na kuanza kuingiliwa kingono akiwa chini ya miaka kumi?
.
Umezungumzia sababu za kibaiolojia nyakati hizo za kale (miaka ya 1940-1985) watu walikuwa na miaka 20 sawasawa na miaka 10 ya watoto wa 2000+.
Turudi nyuma hadi mwaka 600 baada ya Kristo mtoto wa kike wa miaka sita alikuwa na muonekano wa namna gani? Tena wa kiarabu
.
La mwisho uko radhi nianze kumuingilia binti yako wa miaka tisa kwa makubaliano awe mke wangu?
La mwisho na wewe uko tayari kunipa Tigo nihangaike Nayo?