Mudugu
Senior Member
- Mar 17, 2018
- 140
- 130
Wakuu sisi huku shinyanga tumekuwa tukihangaika na panya wanao kula mimea inapo ota au kabla ya kuota yaani wanafukua na kula punje ya mumea
Mazao yanayo liwa na panya ni mahindi, mpunga, vitunguu, na matikiti
Tunahangaika bila kupata suluhisho la hao panya wahalibifu wa mazao yetu
Kama kuna wanao jua dawa ya kuwafanya wasishambulie mimea tunaomba msaada wenu
Mazao yanayo liwa na panya ni mahindi, mpunga, vitunguu, na matikiti
Tunahangaika bila kupata suluhisho la hao panya wahalibifu wa mazao yetu
Kama kuna wanao jua dawa ya kuwafanya wasishambulie mimea tunaomba msaada wenu