Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Wale panya waliokuwa wakisomea digrii ya kunusa mabomu pale SUA Morogoro,wamelala mbele waliposikia kibarua cha Mbagala!
Mhadhiri wao, Panya Buku vilevile alionekana akiishia maeneo ya mbuga ya Selous, akirudi Tunduru.
Wasi wasi wa wahadhiri wenziwe ni kuwa asijegeuzwa kitoweo cha "samaki nchanga" has wakati huu wa njaa kali nchini!!
Mhadhiri wao, Panya Buku vilevile alionekana akiishia maeneo ya mbuga ya Selous, akirudi Tunduru.
Wasi wasi wa wahadhiri wenziwe ni kuwa asijegeuzwa kitoweo cha "samaki nchanga" has wakati huu wa njaa kali nchini!!