Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Hello
Nimekaa maeneo tofauti tofauti hapa dar es salaam kwa kipindi cha miaka minne sasa, katika kila
sehemu niliyopata kuishi kumekuwa na MAPANYA MAKUBWA MAKUBWA (PANYA BUKU). Panya hawa
ni kero sana jamani.
Weekend nimejaribu kumshawishi irani zangu mmoja kulizungumzia tatizo la MAPANYA hawa
katika eneo letu, alionyesha kukata tamaa sana, alinishauri nitafute paka tena kutoka mikoani sio PAKA
wa Dar es Salaam.
Panya hawa wanafanya uharibifu wa hali ya juu sana jamani
naomba serilaki iingilie kati.
Nategemea kuwasilisha maombi haya kwa serikali ya mtaa wangu jioni ya leo
Nimekaa maeneo tofauti tofauti hapa dar es salaam kwa kipindi cha miaka minne sasa, katika kila
sehemu niliyopata kuishi kumekuwa na MAPANYA MAKUBWA MAKUBWA (PANYA BUKU). Panya hawa
ni kero sana jamani.
Weekend nimejaribu kumshawishi irani zangu mmoja kulizungumzia tatizo la MAPANYA hawa
katika eneo letu, alionyesha kukata tamaa sana, alinishauri nitafute paka tena kutoka mikoani sio PAKA
wa Dar es Salaam.
Panya hawa wanafanya uharibifu wa hali ya juu sana jamani
naomba serilaki iingilie kati.
Nategemea kuwasilisha maombi haya kwa serikali ya mtaa wangu jioni ya leo