Panya wa dar - serikali iingilie kati

Taifa_Kwanza

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
443
86
Hello

Nimekaa maeneo tofauti tofauti hapa dar es salaam kwa kipindi cha miaka minne sasa, katika kila
sehemu niliyopata kuishi kumekuwa na MAPANYA MAKUBWA MAKUBWA (PANYA BUKU). Panya hawa
ni kero sana jamani.

Weekend nimejaribu kumshawishi irani zangu mmoja kulizungumzia tatizo la MAPANYA hawa
katika eneo letu, alionyesha kukata tamaa sana, alinishauri nitafute paka tena kutoka mikoani sio PAKA
wa Dar es Salaam.

Panya hawa wanafanya uharibifu wa hali ya juu sana jamani
naomba serilaki iingilie kati.

Nategemea kuwasilisha maombi haya kwa serikali ya mtaa wangu jioni ya leo
 
mbona kuna dawa nyingi tu mitaani za panya na kwenye maduka ya dawa za wanyama
 
hello

nimekaa maeneo tofauti tofauti hapa dar es salaam kwa kipindi cha miaka minne sasa, katika kila
sehemu niliyopata kuishi kumekuwa na mapanya makubwa makubwa (panya buku). Panya hawa
ni kero sana jamani.

Weekend nimejaribu kumshawishi irani zangu mmoja kulizungumzia tatizo la mapanya hawa
katika eneo letu, alionyesha kukata tamaa sana, alinishauri nitafute paka tena kutoka mikoani sio paka
wa dar es salaam.

Panya hawa wanafanya uharibifu wa hali ya juu sana jamani
naomba serilaki iingilie kati.


Nategemea kuwasilisha maombi haya kwa serikali ya mtaa wangu jioni ya leo

nakukaribisha muhimbili jioni ama usiku wadini
 
Hii mijipanya ni mwisho wala haikai ndani yaja kula tu nayanapitia popote pale, mie kwangu mpaka kweye waya wa umeme yapita ule mkubwa wa Dowans. Serikali ya mkoa needs to do something maana siku likilipuka gonjwa la town tumekwisha
 
Hello

Nimekaa maeneo tofauti tofauti hapa dar es salaam kwa kipindi cha miaka minne sasa, katika kila
sehemu niliyopata kuishi kumekuwa na MAPANYA MAKUBWA MAKUBWA (PANYA BUKU). Panya hawa
ni kero sana jamani.

Weekend nimejaribu kumshawishi irani zangu mmoja kulizungumzia tatizo la MAPANYA hawa
katika eneo letu, alionyesha kukata tamaa sana, alinishauri nitafute paka tena kutoka mikoani sio PAKA
wa Dar es Salaam.

Panya hawa wanafanya uharibifu wa hali ya juu sana jamani
naomba serilaki iingilie kati.

Nategemea kuwasilisha maombi haya kwa serikali ya mtaa wangu jioni ya leo


hahahaa paka wa dar wameshachakachuliwa na wachawi hawana mda na panya. Paka is the only solution for panya. Na huyo paka mtoe kizazi na kumshindisha njaa ndo atakamata panya. Pole kwa yanayokusibu.
 
Hello

Nimekaa maeneo tofauti tofauti hapa dar es salaam kwa kipindi cha miaka minne sasa, katika kila
sehemu niliyopata kuishi kumekuwa na MAPANYA MAKUBWA MAKUBWA (PANYA BUKU). Panya hawa
ni kero sana jamani.

Weekend nimejaribu kumshawishi irani zangu mmoja kulizungumzia tatizo la MAPANYA hawa
katika eneo letu, alionyesha kukata tamaa sana, alinishauri nitafute paka tena kutoka mikoani sio PAKA
wa Dar es Salaam.

Panya hawa wanafanya uharibifu wa hali ya juu sana jamani
naomba serilaki iingilie kati.

Nategemea kuwasilisha maombi haya kwa serikali ya mtaa wangu jioni ya leo

Mbona kero ni nyingi za huko daslam.
 
Back
Top Bottom