mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,338
Wamerudi maeneo ya Tabata na hawa madogo wanapovamia hujinasibu kua hakuna wa kuwafanya kitu na huahidi kurudi eneo la tukio tena baada ya mda.
Hawa watu hushirikiana na Polisi hasa kugawana vitu wanavyo pora baada ya kuviuza hakuna mtu anaweza sema hili kwa sababu linagusa watu nyeti pia walio Polisi. Mtaani kuna tarifa za wezi na tunawajua lakini mda mwingine tunahofua ukisema ukajulikana wewe ndio unakua target.
Rai yangu wana nzengo jihami ukiweza kupata silaha hakikisha akija kwako fumua hata ubongo maana ukimkosa ana wewe au ndugu yako au jirani yako.
Hawa watu hushirikiana na Polisi hasa kugawana vitu wanavyo pora baada ya kuviuza hakuna mtu anaweza sema hili kwa sababu linagusa watu nyeti pia walio Polisi. Mtaani kuna tarifa za wezi na tunawajua lakini mda mwingine tunahofua ukisema ukajulikana wewe ndio unakua target.
Rai yangu wana nzengo jihami ukiweza kupata silaha hakikisha akija kwako fumua hata ubongo maana ukimkosa ana wewe au ndugu yako au jirani yako.