Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,425
- 20,462
kuna tetesi kwamba vijana hawa hatari juzi na jana walikuwa wanashambulia kinyerezi na vitongoji vyake,mwenye taarifa zaidi aweza kutujuza zaidi pia; n.b:
Kwa sababu ni moving group ni bora tukawa tunajulishana au kupeana directins wapi kwa muda huu wanashambulia pia iwe rahisi kwa vyombo vya USALAMA kuwafuatilia!!
Kwa sababu ni moving group ni bora tukawa tunajulishana au kupeana directins wapi kwa muda huu wanashambulia pia iwe rahisi kwa vyombo vya USALAMA kuwafuatilia!!