nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Hilo jina la kigogo. Hakuna chapa ya ng'ombe anaweza itwa jina dhaifu hivyoAlikuwa ngosha jina linataka kufanana na Gwaji boy.
Hilo jina la kigogo. Hakuna chapa ya ng'ombe anaweza itwa jina dhaifu hivyoAlikuwa ngosha jina linataka kufanana na Gwaji boy.
Hua wanapanda kwenye skert......sijui wanajua huko juu kuna shimo?Nasisimka nikiona panya dah
Vibaya mno aisee....yaan hata kwa tv huwa naruka..arghHahahaa unawaogopa
Mi nko nao sana huku uswahilini.wanapenda sana vichaka ndo maana hawaishiVibaya mno aisee....yaan hata kwa tv huwa naruka..argh
Hahahahah...!apunguze misongamano...naskia panya wanpenda misongamanoMi nko nao sana huku uswahilini.wanapenda sana vichaka ndo maana hawaishi
Kuna mwenzangu anao huko kwake wakubwa halafu wanakula katikati tu,yani kama NI shati au gauni wanakula mgongoni,begi au pochi wanakula chini kwenye kitako.namkuta mwenyewe analalamika "ohh nani hawa panya niwafanye nini blauzi yangu mpya kabisa nimeivaa Mara moja nakuta imetobolewa mgongoni" hahaa
aaahhhh this is JFArudi bongo huku, afukuzane na mapaka ya kichawi
Ila achunge pesa za penshen kunapanya madanga huku watamfilisi.
Magawa?huyu panya atakuwa ni mbondei wa Tanga maana ndiyo haya majina nayaonaga hukopanya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.
Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia
Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO
Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake
Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.
View attachment 1808755
Inabidi atafutiwe demu sasa maana tayari ameachana na issue za kijeshi zilizokuwa zinambana.
Asife bila kuacha watoto.
Panya kala shavu wakati kuna mwana ana degree 2 hajawahi kukanyaga ofisini
Yaani panya ana cheo kuliko mimi?!!
Hizi dharau sasa
Mzeee wa fursaMsimwambie Wema Sepetu.....
Wakat anafichua mabomu wengine uku wanafichua nyuchi.
Panya alipanda Ndege kwenda Cambodia kupiga kazi ila kuna ma legend somewhere wala hawajawahi kupanda Ndege.
Kama panya magawa amevalishwa nishani na kupewa promo namna hii. Inamaana siku panya magawa akifa watatangaza siku ya mazishi, kuaga mwili na mahala atapozikwa?panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.
Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia
Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO
Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake
Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.
View attachment 1808755