Panya Magawa astaafu kazi ya kufichua mabomu kimataifa

Vibaya mno aisee....yaan hata kwa tv huwa naruka..argh
Mi nko nao sana huku uswahilini.wanapenda sana vichaka ndo maana hawaishi
Kuna mwenzangu anao huko kwake wakubwa halafu wanakula katikati tu,yani kama NI shati au gauni wanakula mgongoni,begi au pochi wanakula chini kwenye kitako.namkuta mwenyewe analalamika "ohh nani hawa panya niwafanye nini blauzi yangu mpya kabisa nimeivaa Mara moja nakuta imetobolewa mgongoni" hahaa
 
Mi nko nao sana huku uswahilini.wanapenda sana vichaka ndo maana hawaishi
Kuna mwenzangu anao huko kwake wakubwa halafu wanakula katikati tu,yani kama NI shati au gauni wanakula mgongoni,begi au pochi wanakula chini kwenye kitako.namkuta mwenyewe analalamika "ohh nani hawa panya niwafanye nini blauzi yangu mpya kabisa nimeivaa Mara moja nakuta imetobolewa mgongoni" hahaa
Hahahahah...!apunguze misongamano...naskia panya wanpenda misongamano
 
panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.

Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia

Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO

Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake

Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.

View attachment 1808755
Magawa?huyu panya atakuwa ni mbondei wa Tanga maana ndiyo haya majina nayaonaga huko
 
Bila shaka sasa ni muda wake wa kula bia na totozzz, maana kuna muda alibaki peke yake uwanja wa vita akinusa maguruneti na kuuza roho.
 
panya wa Tanzania mwenye sifa ya kufichua mabomu kimataifa astaafu Cambodia Magawa (panya) aliyejishindia tuzo kwa ushujaa wake anastaafu katika kazi yake ya kufichua mabomu yaliotegwa ardhini.

Kila ugunduzi alioufanya ulipunguza hatari ya kuumia au kifo kwa watu wa Kambodia

Katika kazi ya miaka mitano aliyofanya Hadi leo Magawa amefanikiwa kugundua mabomu 71 yaliotegwa ardhini pamoja na vilipuzi kadhaa nchini Cambodia na kumfanya kuwa HeroRAT aliyefanikiwa zaidi wa APOPO

Wasimamizi wake wanasema kwamba panya huyo mwenye umri wa miaka saba ameanza kupunguza kasi yake akielekea kuwa mzee na anahitaji kuheshimu mahitaji yake

Magawa ni panya mkubwa wa kijeshi wa kiafrika aliyezaliwa nchini Tanzania mnamo Novemba 2014. Alikulia katika kituo cha Mafunzo na Utafiti cha APOPO nchini Tanzania ambapo alijifunza jinsi ya kupata vilipuzi kwa kutumia hisia zake za ajabu za kunusa. Magawa kisha alihamia Siem Reap huko Cambodia mnamo 2016, ambapo alianza kazi yake yenye mafanikio.

View attachment 1808755
Kama panya magawa amevalishwa nishani na kupewa promo namna hii. Inamaana siku panya magawa akifa watatangaza siku ya mazishi, kuaga mwili na mahala atapozikwa?
 
Back
Top Bottom