Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 12,740
- 18,015
😂 😂 😂Taifa la tetesi na memes...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂Taifa la tetesi na memes...
Jafo ni mwepesi sana na ni wa kawaida labda mama aendelee kumbeba kwasababu ni muislamu mwenzakeAna maajabu gani???
Inaniongezea nini wakati wamezulumu haki ya Baba wa watu kuwa huru na familia yake? Wanamwita gaidi? Mungu nakuomba u rehemu ili taifa, Maana ghadhabu yako yaweza kuwa kubwa mno!Kwa mara ya pili Tanzania Waziri Mkuu anaenda kusitishwa uongozi katikati tukumbuke Warioba na Sokoine waliwai kusitisha uwaziri mkuu kwa sababu mbali mbali....
Kwa mara ya pili Tanzania Waziri Mkuu anaenda kusitishwa uongozi katikati tukumbuke Warioba na Sokoine waliwai kusitisha uwaziri mkuu kwa sababu mbali mbali...
Huyo hatapanguliwa katu anaitendea haki nafasi yake ni viongozi active kweli kweli.Katelephone atakula pension ya PM mpaka kifo, si mbaya sana.
sio gaidiNi gaidi
PM hawezi kubadilishwa bila Baraza la Mawaziri kuvunjwa kwanza. Uamuzi wa kuvunja Baraza la Mawaziri ni uamuzi mgumu!Kwa mara ya pili Tanzania Waziri Mkuu anaenda kusitishwa uongozi katikati tukumbuke Warioba na Sokoine waliwai kusitisha uwaziri mkuu kwa sababu mbali mbali...
mbona mnahangaika mmno na haya? of what benefitKwa mara ya pili Tanzania Waziri Mkuu anaenda kusitishwa uongozi katikati tukumbuke Warioba na Sokoine waliwai kusitisha uwaziri mkuu kwa sababu mbali mbali...
Huu ni uongo na upotoshaji mkubwa sana kuhusu wazo la Tozo kutolewa na Ummy Mwalimu sio kweli. Hilo ni Wazo la Mbunge wa Ilala Zungu ndo alilitoa bungeni Serikali Wizara ya Fedha na Mipango ikalichukua kwa ajili ya Utekelezaji. Tusipotoshane bila sababu. So far Wizara imefanya vizuri na makubwa ni Ofisi ya Rais TAMISEMI Chini ya Ummy MwalimuHivi unaelewa kwamba wazo la tozo la simu limetoka kwa Ummy Mwalimu na kupata support ya raisi?
Mwigulu kama waziri inabidi alisimamie tu na kuli-backup kama sehemu ya uwajibaki wa pamoja...
Ebu nenda kamuulize raisi mwenyewe hilo wazo kalitoaHuu ni uongo na upotoshaji mkubwa sana kuhusu wazo la Tozo kutolewa na Ummy Mwalimu sio kweli. Hilo ni Wazo la Mbunge wa Ilala Zungu ndo alilitoa bungeni Serikali Wizara ya Fedha na Mipango ikalichukua kwa ajili ya Utekelezaji. Tusipotoshane bila sababu. So far Wizara imefanya vizuri na makubwa ni Ofisi ya Rais TAMISEMI Chini ya Ummy Mwalimu