AGRIWORTH TZ
Member
- Sep 20, 2020
- 40
- 72
PANDA MITI YA MBAO NA NGUZO UNUFAIKE BAADAE
Kilimo cha miti kimepata umaarufu wa ghafla miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ongezeko la mahitaji ya mazao ya miti na Katika Tanzania mikoa ya Njombe ni moja ya mikoa maarufu inayoongoza kwa misitu mikubwa ya kupandwa.
Miti inatumika kwa kuzalisha mbao, nguzo za umeme, nguzo za simu za majumbani na nguzo za kujengea pamoja na utengenezeaji wa vitu vya thamani .
Hata hivyo kama una mpango wa kuwa na “financial freedom” usikwepe kufikiria uwekezaji wa muda mrefu. Waingereza husema “Information is power”. Wengi hawajachangamkia fursa hii ya upandaji miti.
Hii ina maana inapofikisha umri wa kuanzia miaka saba huwa tayari kwa kuanza kuvunwa kwa mbao ndogo. Ekari moja ya shamba inachukua wastani wa miti mia sita 500,Kwa shamba la miti ya mbao na kwa upande wa miti ya nguzo hupandwa miti 600 kwa ekari moja, Wastani wa chini wa mti mmoja wanguzo ukikomaa in sh.50,000/= na bei ya mwisho kwa mti wanguzo kwa sasa uliokomaa ni shilingi elfu sabini (Tsh 70,000 /=) inategemea na ukubwa wa mti).Hii ina maana katika ekari moja ukiwa na miti iliyokomaa unakusanya jumla ya shilingi milioni 42,000,000/=
Nakwa upande wa miti ya mbao unaweza kuuza msitu wako ukisha komaa kwa watu wa naojihusisha na biashara za mbao wakavuna wao pia unaweza kupasulisha mbao na ukaziuza mbao zako kwa bei ya jumla.Ukiuza msitu wa mbao kwa ekari moja haipungui sh.milioni kuminanane (Tsh.18,000,000/=)
Na ukipasulisha mbao nakuziuza utapata kiasi kisicho pungua Tsh.32 milioni.
Uponunua mashamba , kinacho fuataa ni upandaji Kilimo cha miti ni rahisi sana kwa sababu ukishapanda hakihitaji uangalizi mkubwa sana na wala hauhitajiki uwe karibu na shamba/mradi muda wote. Kuna kazi chache ambazo zinahitajika ukishapanda shamba lako.
Mvua inyeshe ama isinyeshe mti wa mbao, nguzo ama ukishachipua huwa haufi kwani huendelea kutumia unyevu wa ardhini. Kazi namba moja unapokuwa umeshakamilisha upandaji wa miti kwenye shamba; ni kutengeneza njia za kuzuia moto walau mara moja kwa mwaka, kazi ya pili ni kufyekea miti inapokua mikubwa kuanzia umri wa miaka 4 (prooning).
Hata hivyo wote tunafahamu kuwa ardhi ni rasilimali inayopanda thamani kila siku Hii ina maana kuwa ukiwa na shamba la miti leo; thamani ya ardhi hiyo inazidi kupanda kila siku na miti uliyopanda inazidi kupanda thamani kila siku.
HUDUMA ZETU Agriworth Tanzania NI KAMA IFUTAVYO
Tunatoa huduma ya upatikanaji wa mashamba ya kupanda miti ya mbao na Miti ya Nguzo kwa bei ya Tsh.150,000/=Tu kwa ekari moja mkoani Njombe.
Tunatoa huduma ya kuzalisha ya miche ya miti ya mbao na kupanda mashambani bei ya mche ni sh 500 aina ya Mikaratus na Pine
Pia tuna toa huduma ya kusimamia shamba kwa mteja aliye mbali na shamba lake.
Website: AGRIWORTH TANZANIA COMPANY ~ MESSAGE FROM THE GENERAL MANAGER
Email; agriworthtz@agriworthtanzania.com
Agriworth Tanzania"Helping people help others"