Voiced Voice
JF-Expert Member
- Feb 1, 2018
- 248
- 249
Hivi watanzania wanahitaji kiongozi bora au kiongozi anayeweza kumkabili Magufuli? Kigezo cha mpinzani bora anayefaa kuongoza nchi ni yule anayemkabili magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi watanzania wanahitaji kiongozi bora au kiongozi anayeweza kumkabili Magufuli? Kigezo cha mpinzani bora anayefaa kuongoza nchi ni yule anayemkabili magufuli?
Sasa kwa upeo wako mdogo na uliopigwa ganzi na Ccm unaona ile ni tume huru, hata hivyo sikushangai sana maana ukiwa Ccm hata hata ukiona mavi na bado watu wakakwambia kuwa yale ni mavi bado Utalazimisha kuwa ile keki tena kwa msisitizo utaongezea kuwa ni tamu sana.Labda kama unaongelea Urais wa TLS....lakini kama ni Urais wa taifa basi mna mpotosha ikiwezekana mwambieni agombee msijifiche nyuma ya tume huru maana hata nyingi mna wabunge waliotokana na hiyo mnayoiita tume siyo huru
Ndugu zangu, huu ndio ukweli na sababu kubwa ni kuwa "Mkulu" si kipenzi cha watu na hajawekaza kabisa kwa watu wa kawaida(kwenye grassroots) bali ni mtu mwenye umaarufu wa media na kawekeza zaidi katika media.
Lissu, kwa kumsema na kumkosoa mkulu, alikuwa anawagusa wananchi wengi kwani alikuwa ndio sauti ya wanyonge na kwa hilo pamoja na mambo mengine mengi, amejijengea jina kubwa sana na kumfanya akubalike na wengi.
Hata jaribio lililoshindwa la kuondoa uhai wake, kwake pia ni mtaji mkubwa sana kisiasa.
Kingine ni kufeli kwenye issue ya makinikia ambayo Lissu aliitwa msaliti lakini hatimae ukweli umejulikana.
In short, Lissu hataitaji kampeni kubwa kumshinda mkulu ila mkulu ataitaja kampeni kubwa kupunguza gap la kura kati yake na Lissu kupata walau asilimia hiyo 35 ya kura.
Wewe haupo Tanzania hivyo hujui kinachoendelea on the grass root. Unaishi maisha ya dhahania na hujui chochote. Kwa taarifa yako, CCM ipo juu kupita kipindi chochote, na Dr Magufuli anapendwa na hao grass root na wasomi wote, kila mtu anamshukuru Mungu kwa JK na jopo lake kumleta Dr Magufuli. Pole sana, tukutane 2025, maana Dr Magufuli na CCM mpaka 2025 wapo na ndipo ninyi wapinzani mtajifikiria, ingawa najua mtafeli tena maana hamna seraNdugu zangu, huu ndio ukweli na sababu kubwa ni kuwa "Mkulu" si kipenzi cha watu na hajawekaza kabisa kwa watu wa kawaida(kwenye grassroots) bali ni mtu mwenye umaarufu wa media na kawekeza zaidi katika media.
Lissu, kwa kumsema na kumkosoa mkulu, alikuwa anawagusa wananchi wengi kwani alikuwa ndio sauti ya wanyonge na kwa hilo pamoja na mambo mengine mengi, amejijengea jina kubwa sana na kumfanya akubalike na wengi.
Hata jaribio lililoshindwa la kuondoa uhai wake, kwake pia ni mtaji mkubwa sana kisiasa.
Kingine ni kufeli kwenye issue ya makinikia ambayo Lissu aliitwa msaliti lakini hatimae ukweli umejulikana.
In short, Lissu hataitaji kampeni kubwa kumshinda mkulu ila mkulu ataitaja kampeni kubwa kupunguza gap la kura kati yake na Lissu kupata walau asilimia hiyo 35 ya kura.