Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,022
- 112,707
Katiba mpya...katiba mpya...katiba mpya!! Neno katiba siku hizi limekuwa kama wimbo flani unaotamba kwa wakati flani.
Sasa limenijia swali hapa. Je tukishaipata hiyo katiba mpya tunayoililia sana ina maana matatizo yetu ndio yataisha?
Katiba mpya ndio panacea ya hali duni ya maisha tuliyonayo?
Sasa limenijia swali hapa. Je tukishaipata hiyo katiba mpya tunayoililia sana ina maana matatizo yetu ndio yataisha?
Katiba mpya ndio panacea ya hali duni ya maisha tuliyonayo?