Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Pana chuo tanzania kinatumia mfumo wa Semester?
Yaani kila semester pana wanafunzi wanaojiunga, na wanafunzi wanaohitimu. Masharti ya kuhitimu ni kukamilisha masomo fulani. GPA ni ya masomo, siyo kwa mwaka. Hakuna kusema huyu ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wala wa ngapi. Mwanafunzi akitimiza masharti anahitimu. Mahafali yako kila semester. Hakuna kusema tusubiri disemba, wakati umekamilisha kila kitu Januari.
Baadhi ya vyuo vina semester jina tu. Mahafali ni mara moja kwa mwaka. Mihula wameibatiza jina kuiita semester. Kujiunga na chuo ni mara moja kwa mwaka.
Yaani kila semester pana wanafunzi wanaojiunga, na wanafunzi wanaohitimu. Masharti ya kuhitimu ni kukamilisha masomo fulani. GPA ni ya masomo, siyo kwa mwaka. Hakuna kusema huyu ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wala wa ngapi. Mwanafunzi akitimiza masharti anahitimu. Mahafali yako kila semester. Hakuna kusema tusubiri disemba, wakati umekamilisha kila kitu Januari.
Baadhi ya vyuo vina semester jina tu. Mahafali ni mara moja kwa mwaka. Mihula wameibatiza jina kuiita semester. Kujiunga na chuo ni mara moja kwa mwaka.