change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 694
- 1,463
Akili za darasa la nne utazijua tu!! Kulipwa pesa nyingi za usajili ndio utastaafu ukiwa tajiri?!! Hizo ambazo amelipwa toka ameanza kucheza Simbasc zimemfikisha wapi?!!Meneja wa Zimbwe anajitambua amekataa kufuga panya kwenye debe la unga. Alisha sema Kama hawakupata maslai mazuri Bora mchezaji aende Gwambina au ihefu kuliko kupata umaarufu Simba alafu unastaafu mpira ukiwa maskini.