Sanaaaaaa..........Rais kapiga kitu cha mkanda nje...........
najaribu kuweka picha sijui kuna kwikwi gani leo................
Rais wangu nadhifu jamani.........leo kaingia mkutanoni kachomekea.......duniani zaidi ya Obama na Kikwete nani mwingine anachomekea.........?........Aaaaaah.......sifa zake tumpe bana........RAIS KAPENDEZA........
Mtu pekee niliyemuona kabadili nguo ni rais kwenye huo mkutano.........wengine wote kama wamerudia mashati.........hali ya hewa Dom ipoje.....?.......
Mtu pekee niliyemuona kabadili nguo ni rais kwenye huo mkutano.........wengine wote kama wamerudia mashati.........hali ya hewa Dom ipoje.....?.......
Na hicho kilikuwaga kigezo pia cha kuchaguliwa kwake, kwa hiyo hapo hakuwaangusha kabisa kwa miaka kumieace:eace:
Kitambo wakwetu, si unajua tena! Huu ndo muda wa kuchungulia chungulia kimtindo huku. Vipi hali ya hewa huko home baada ya anko kuchinjwa ? Eti nikweli mlihamia chanikiwiti?:A S-cry:Kanti bilivu mai aizi........aisee.......karibu sana wakwetu........muda sana.......
hapa sasa naamini 2005 sikudanganyika mwenyewe...........
Rais wangu nadhifu jamani.........leo kaingia mkutanoni kachomekea.......duniani zaidi ya Obama na Kikwete nani mwingine anachomekea.........?........Aaaaaah.......sifa zake tumpe bana........RAIS KAPENDEZA........
Mlianza na kusema JK ni Handsome mkampa kura,wanawake bwana