Pamoja na yote haya Mh Mabere Nyaucho Marando nae anahitaji faraja toka kwa Watanzania

shaw

Senior Member
Jan 22, 2012
143
70
Nilipata nafasi ya kwenda kusalimia mh Marando hvi karibuni kupata niseme jambo moja tu kwa Watanzania kua anahitaji faraja yetu sisi Watanzania lakini naamin atafarijika zaid akiona watu wa mlengo wake wakiwa karibu na yeye katika kipindi hiki kigumu anachopita kama tu tulivyo jumuika na Lema hatuna budi kuonesha moyo kama huo kwa Mwenzetu. Na nna dhani hili linaweza kuwa la maana sana kwake
 
Back
Top Bottom