Pamoja na yote, Dr. Slaa bado Atatinga Bungeni soon!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,337
113,180
Wanabodi,
Pamoja na mimi kukubali sio Sheikh Yahya, lakini Dr. Slaa ataingia bungeni hivi karibuni kwa njia mbili kuu.

1. Kuteuliwa na JK.
Pamoja na JK kuwa ni mtu wa visasi, lakini waungwana watamshauri amteue Dr. Slaa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi kama alivyofanya Hamad Rashid, na juzi juzi kwa Ismail Jussa. The only argument itakamfanya msimteue ni kuwa Dr. Slaa ni shoka, shoka kweli, au upanga wa makali kuwili, kwa vile alikuwa mwimba mchungu kwa serikali ya CCM akiwa na Zitto, tuu, sasa kaongeza nguvu ya kina Freeman, JJ.Mnyika na Tundu Lissu na hao wengine kibao akiwemo, Sugu, hivyo akijiunga na timu hiyo, huo moto wao bungeni nani ataweza kuuzima, itakuwa ndio kujimba kabisa kaburi la CCM, 2015!

2. Kuteuliwa na Mungu!.
Wale wapenda mema wote na wapenda mageuzi na demokrasia ya kweli ndani ya bunge, wangependa kumuona Dr. Slaa akirudi bungeni, this time akiwa ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali na na Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Hivyo sala zao zitasikiliza na Mungu baba atafanya mambo yake muda sii mrefu, Dr atarejea bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa kupitia jimbo jingine lolote litakalobaki wazi muda sii mrefu kutoka sasa!.
 
Hivi si anaweza kugombea uspika wa bunge pia? Au haya majangili ya CCM hayatampa kura zao...
 
asilimia kubwa ya watanzania wangependa sana kumuona slaa akirudi tena bungeni.ila kamwe JK hatojaribu wala hata kufiria kumteua huyo shujaa eti arudi abungeni tena akaendelee kumvua nguo. hapo ndo pabaya kwamba kisiasa silaa atunaye tena. ila naamini lazima kwa hawa mashujaa wapya wanaoingia atatokea tu mmoja kama cyo wote wa kumrithi DK wa ukweli. MUNGU bariki SLAA,MUNGU bariki CHADEMA.MUNGU bariki TANZANIA.
 
Slaa asiludi bungeni inahitajika akae pembeni na kuimalisha chama kwa ajili ya 2015!
 
Dr. Slaa alisema angekuwa Rais wa kipindi kimoja ili kuwapa nafasi wengine, I believe anajua umri wake na busara zake hazimtruhusu kwa jinsi alivyojipima.

Kwa maoni yangu Dr. Slaa hatagombea 2015. Hata hivyo kama alivyosema yeye hata akikosa Urais huu, bado atawatumikia Wananchi kama katibu wa Chama.

Chadema wanapaswa sasa kukifumua chama na kuunda Nguvu ya Umma kiuhalisia. Hata CCM wenyewe (Walalahoi) wamechoka ila hawajui wapi waanzie kutoka kwa kuwa Chadema bado haina mfumo madhubuti wa kuwafikia na kuwapokea.

Kaeni chini CHADEMA, back to the drawing board. 2015 nina uhakika mtachukua Nchi kama mwalimu alivyowatabiria after 20 years.

Hata hivyo kama akipenda, kila wananchi watatamani awe mbunge wao pale jimbo litakapokuwa wazi ama kwa amri ya mahakama, ama NEC kutaka uchaguzi urudiwe, ama jimbo kubaki wazi kwa sababu zozote za kisheria nk.
 
Hivi si anaweza kugombea uspika wa bunge pia? Au haya majangili ya CCM hayatampa kura zao...
Uspika haumfai Doctor kwa kuwa hatakuwa huru sana kumwanga vimbwanga vya uhakika maana yeye atakuwa ndio bosi mjengoni
 
Ni kjipangwa kwa 2015, imarisheni chama, watu wanaimani na chadema sasa
 
Wanabodi,
Pamoja na mimi kukubali sio Sheikh Yahya, lakini Dr. Slaa ataingia bungeni hivi karibuni kwa njia mbili kuu.

1. Kuteuliwa na JK.
Pamoja na JK kuwa ni mtu wa visasi, lakini waungwana watamshauri amteue Dr. Slaa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi kama alivyofanya Hamad Rashid, na juzi juzi kwa Ismail Jussa. The only argument itakamfanya msimteue ni kuwa Dr. Slaa ni shoka, shoka kweli, au upanga wa makali kuwili, kwa vile alikuwa mwimba mchungu kwa serikali ya CCM akiwa na Zitto, tuu, sasa kaongeza nguvu ya kina Freeman, JJ.Mnyika na Tundu Lissu na hao wengine kibao akiwemo, Sugu, hivyo akijiunga na timu hiyo, huo moto wao bungeni nani ataweza kuuzima, itakuwa ndio kujimba kabisa kaburi la CCM, 2015!

2. Kuteuliwa na Mungu!.
Wale wapenda mema wote na wapenda mageuzi na demokrasia ya kweli ndani ya bunge, wangependa kumuona Dr. Slaa akirudi bungeni, this time akiwa ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali na na Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Hivyo sala zao zitasikiliza na Mungu baba atafanya mambo yake muda sii mrefu, Dr atarejea bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa kupitia jimbo jingine lolote litakalobaki wazi muda sii mrefu kutoka sasa!.
Naona unaaza kufikiria kutoka tumboni na siyo kichwani kaka/ dada.
Ngoma bado mbichi kabisa hapa.
tulimchagua urais na si ubunge wewe kalumekenge
 
Slaa asiludi bungeni inahitajika akae pembeni na kuimalisha chama kwa ajili ya 2015!

This is the only credible solution. Awe huru kuimarisha chama na kuwaanda vijana wa next election........
 
Kwa vile JK ni kichwa cha panzi kamwe hatapenda mtu mwenye upeo kama wa Dr wa ukweli Wilbrod Slaa awe bungeni kwani yeye na serikali yake ya vilaza hawana uwezo kujibu hoja zilizokwenda shule za Dr Slaa.
 
Naona unaaza kufikiria kutoka tumboni na siyo kichwani kaka/ dada.
Ngoma bado mbichi kabisa hapa.
tulimchagua urais na si ubunge wewe kalumekenge
duh! watu wengine mnanifurahishaga na macomment yenu jamani!
 
Wanabodi,
Pamoja na mimi kukubali sio Sheikh Yahya, lakini Dr. Slaa ataingia bungeni hivi karibuni kwa njia mbili kuu.

1. Kuteuliwa na JK.
Pamoja na JK kuwa ni mtu wa visasi, lakini waungwana watamshauri amteue Dr. Slaa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi kama alivyofanya Hamad Rashid, na juzi juzi kwa Ismail Jussa. The only argument itakamfanya msimteue ni kuwa Dr. Slaa ni shoka, shoka kweli, au upanga wa makali kuwili, kwa vile alikuwa mwimba mchungu kwa serikali ya CCM akiwa na Zitto, tuu, sasa kaongeza nguvu ya kina Freeman, JJ.Mnyika na Tundu Lissu na hao wengine kibao akiwemo, Sugu, hivyo akijiunga na timu hiyo, huo moto wao bungeni nani ataweza kuuzima, itakuwa ndio kujimba kabisa kaburi la CCM, 2015!

2. Kuteuliwa na Mungu!.
Wale wapenda mema wote na wapenda mageuzi na demokrasia ya kweli ndani ya bunge, wangependa kumuona Dr. Slaa akirudi bungeni, this time akiwa ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali na na Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Hivyo sala zao zitasikiliza na Mungu baba atafanya mambo yake muda sii mrefu, Dr atarejea bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa kupitia jimbo jingine lolote litakalobaki wazi muda sii mrefu kutoka sasa!.

Pasco, JK hakumteua Hamad Mohamed Rashid. Mkapa ndiyo alifanya hivyo mwaka 2000 kutokana na uswahiba wao wa siku nyingi. 2005 Hamad Rashid alishinda Wawi - CUF.

JK alimteua Ismail Jussa ukingoni mwa bunge lililopita kwa ushauri wa January (rafiki yake Jussa) kama zawadi kwa jitihada zake Jussa za kuleta muafaka Z'bar.

Hakuna mpinzani atakayepewa kiti teule na JK kwa sura yo yote ile, haswa haswa Slaa, ambaye kwanza hawezi kukiri JK ni 'mtukufu'.
 
Kama kweli Slaa kakomaa kisiasa hangethubutu kumnadi Kikwete kama gaidi na kuwakose heshma hata wazazi wake,Muungwana akiudhiwa hutabasamu,huyu ndio kiongozi,sio Slaa kutabasam hana ila majungu na fitna tu,je siasa nikutuka wazazi wamwenzako? Slaa atakuwa shoka kwa Hawara wake aliyemnadi Dar wakti wa kampeni,eti mapadri hawaoi vip Slaa kapata Hawara then akatuchafulie Ikulu na Hawara,mmh
 
No Dr Slaa sasa acheze majukwaani tu, tunamshukuru ametengeneza akina 'Slaa' wengine wengi wanaoweza kufanya makubwa bungeni. Yeye sasa asaidie kutengeneza upinzani wa kweli. Na bila kusahau kuwa hatakiwi kukubali matokeo haya, ikimaanisha kuwa raisi atakayetangazwa hatutamtambua.
 
Kama kweli Slaa kakomaa kisiasa hangethubutu kumnadi Kikwete kama gaidi na kuwakose heshma hata wazazi wake,Muungwana akiudhiwa hutabasamu,huyu ndio kiongozi,sio Slaa kutabasam hana ila majungu na fitna tu,je siasa nikutuka wazazi wamwenzako? Slaa atakuwa shoka kwa Hawara wake aliyemnadi Dar wakti wa kampeni,eti mapadri hawaoi vip Slaa kapata Hawara then akatuchafulie Ikulu na Hawara,mmh

Unajua shida yako ni unafiki. Dr Slaa amelelwa kutaja kitu halisi bila kuzunguka. Koleo ni lazima liitwe koleo, na sio kuliita kijiko kikubwa. JK ni fisadi na gaidi, hakuna lugha nyingine ya kumuelezea hivyo ndivyo alivyo. Sasa ulitaka asemeje? Kuwa JK ni mzuri, anatabasamu zuri? sio Chadema Bwana, hayo fanyeni nyie ccm.
 
Humu ndani ya forum wengine ni wehu, eti slaa awe spika, spika lazime awe mwanasheria kaka, theology na uspika wapi na where? sisi sote humu tulifanikiwa kufukuza wanaccm ktk forum leo mwanamapinduzi kashinda wanarudi eti matusi, na walioita wenzao kokoto hawaku2kana? African politics are in a form of adversarial men ndio maana wanatumia kila mbinu ikiwa kuwekana uchi ili washinde, lakini tuwe macho bila yale matusi usemakweli leo tungekuwa na jimbo la temeke, kweli akili nyingi huondoa maarifa
 
Humu ndani ya forum wengine ni wehu, eti slaa awe spika, spika lazime awe mwanasheria kaka,
Ferds, huna haja ya kutukana watu wehu, kuwa spika sio lazima uwe mwanasheria, Chifu Adam Sapi Mkwawa hakuwa mwanasheria, Pius Msekwa hakuwa mwanasheria, Getrude Mongela wa Spika wa Bunge la Afrika, sio mwanasheria na Abrahman Kinana, aliyekuwa spika wa Bunge la Afrika Mashariki, ambaye ndio anayekuja kuwa spika wa sasa, sio mwanasheria, imetokea tuu kwa spika Stta ndiye mwanasheria.
 
Nadhani Slaa agombee uenyekiti wa chama chake ili aweze kujenga kwenye msingi uliowekwa kwenye uchaguzi huu. Bungeni si mahala pake.

Amandla........
 
Kama kweli Slaa kakomaa kisiasa hangethubutu kumnadi Kikwete kama gaidi na kuwakose heshma hata wazazi wake,Muungwana akiudhiwa hutabasamu,huyu ndio kiongozi,sio Slaa kutabasam hana ila majungu na fitna tu,je siasa nikutuka wazazi wamwenzako? Slaa atakuwa shoka kwa Hawara wake aliyemnadi Dar wakti wa kampeni,eti mapadri hawaoi vip Slaa kapata Hawara then akatuchafulie Ikulu na Hawara,mmh

Hayo ya Padri, Hawara n.k. yametoka wapi? Hapa si pako naona umepotea njia.Usidanganyike na wenzako mlioingia juzi kwa ajili ya uchaguzi. Ninajifariji kuwa mtapotea hivi karibuni maana uwezo wa kuchangia la maana nje ya kebehi za kisiasa hamna.

Amandla.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom