Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Pamoja na mimi kukubali sio Sheikh Yahya, lakini Dr. Slaa ataingia bungeni hivi karibuni kwa njia mbili kuu.
1. Kuteuliwa na JK.
Pamoja na JK kuwa ni mtu wa visasi, lakini waungwana watamshauri amteue Dr. Slaa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi kama alivyofanya Hamad Rashid, na juzi juzi kwa Ismail Jussa. The only argument itakamfanya msimteue ni kuwa Dr. Slaa ni shoka, shoka kweli, au upanga wa makali kuwili, kwa vile alikuwa mwimba mchungu kwa serikali ya CCM akiwa na Zitto, tuu, sasa kaongeza nguvu ya kina Freeman, JJ.Mnyika na Tundu Lissu na hao wengine kibao akiwemo, Sugu, hivyo akijiunga na timu hiyo, huo moto wao bungeni nani ataweza kuuzima, itakuwa ndio kujimba kabisa kaburi la CCM, 2015!
2. Kuteuliwa na Mungu!.
Wale wapenda mema wote na wapenda mageuzi na demokrasia ya kweli ndani ya bunge, wangependa kumuona Dr. Slaa akirudi bungeni, this time akiwa ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali na na Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Hivyo sala zao zitasikiliza na Mungu baba atafanya mambo yake muda sii mrefu, Dr atarejea bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa kupitia jimbo jingine lolote litakalobaki wazi muda sii mrefu kutoka sasa!.
Pamoja na mimi kukubali sio Sheikh Yahya, lakini Dr. Slaa ataingia bungeni hivi karibuni kwa njia mbili kuu.
1. Kuteuliwa na JK.
Pamoja na JK kuwa ni mtu wa visasi, lakini waungwana watamshauri amteue Dr. Slaa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi kama alivyofanya Hamad Rashid, na juzi juzi kwa Ismail Jussa. The only argument itakamfanya msimteue ni kuwa Dr. Slaa ni shoka, shoka kweli, au upanga wa makali kuwili, kwa vile alikuwa mwimba mchungu kwa serikali ya CCM akiwa na Zitto, tuu, sasa kaongeza nguvu ya kina Freeman, JJ.Mnyika na Tundu Lissu na hao wengine kibao akiwemo, Sugu, hivyo akijiunga na timu hiyo, huo moto wao bungeni nani ataweza kuuzima, itakuwa ndio kujimba kabisa kaburi la CCM, 2015!
2. Kuteuliwa na Mungu!.
Wale wapenda mema wote na wapenda mageuzi na demokrasia ya kweli ndani ya bunge, wangependa kumuona Dr. Slaa akirudi bungeni, this time akiwa ndie Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali na na Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Hivyo sala zao zitasikiliza na Mungu baba atafanya mambo yake muda sii mrefu, Dr atarejea bungeni kama mbunge wa kuchaguliwa kupitia jimbo jingine lolote litakalobaki wazi muda sii mrefu kutoka sasa!.