assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
BAADA YA KUPATA WABUNGE ZAIDI KATIKA UCHAGUZI ULOPITA CHADEMA KIMEDHIHIRISHA YAFUATAYO
1. Kinapenda ubinafsi,kwani kiliamua kuunda kambi ya upinzani peke utadhani vyama vingine havipo
2. Kudharau hoja za vyama vingine vya upinzani na kuviita ni kama ccm
3. Kuamini kama wao pekeyao ndio wanokubalika kwa sasa hapa Tanzania
4. Hoja nzuri wao pekeyao ndio wajuzi mpinzani mwingine akitoa hoja hawaitlii manani
UKWELI NI HUU;
SERIKALI IJAYO BILA SHAKA SERIKALI ITAKUA YA COALTION YA VYAMA, KWANI CUF IKISHINDA ZANZIBA,NA CHADEMA IKISHINDA TANGANYIKA THEN SERIKALI YA COALITION HAIKWEPEKI SASA NI BORA KAMBI RASMI YA UPINZANI IKAACHA UBAGUZI WA KUWABAGUA WAPINZANI WENZIO ILI ISIJE KUWA SHIDA BAADAE KAM KUTATOKEA SUALA LA SERIKALI YA COALITION
1. Kinapenda ubinafsi,kwani kiliamua kuunda kambi ya upinzani peke utadhani vyama vingine havipo
2. Kudharau hoja za vyama vingine vya upinzani na kuviita ni kama ccm
3. Kuamini kama wao pekeyao ndio wanokubalika kwa sasa hapa Tanzania
4. Hoja nzuri wao pekeyao ndio wajuzi mpinzani mwingine akitoa hoja hawaitlii manani
UKWELI NI HUU;
SERIKALI IJAYO BILA SHAKA SERIKALI ITAKUA YA COALTION YA VYAMA, KWANI CUF IKISHINDA ZANZIBA,NA CHADEMA IKISHINDA TANGANYIKA THEN SERIKALI YA COALITION HAIKWEPEKI SASA NI BORA KAMBI RASMI YA UPINZANI IKAACHA UBAGUZI WA KUWABAGUA WAPINZANI WENZIO ILI ISIJE KUWA SHIDA BAADAE KAM KUTATOKEA SUALA LA SERIKALI YA COALITION