assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
- Thread starter
- #21
Chadema ni majanga
kam huna kazi ni bora ukalale
Ndo nini sasa? Au ndo mambo ya 0713?lema.mbowe,mnyika,mdee,ndesmburo,selasini, etc
BAADA YA KUPATA WABUNGE ZAIDI KATIKA UCHAGUZI ULOPITA CHADEMA KIMEDHIHIRISHA YAFUATAYO
1. Kinapenda ubinafsi,kwani kiliamua kuunda kambi ya upinzani peke utadhani vyama vingine havipo
2. Kudharau hoja za vyama vingine vya upinzani na kuviita ni kama ccm
3. Kuamini kama wao pekeyao ndio wanokubalika kwa sasa hapa Tanzania
4. Hoja nzuri wao pekeyao ndio wajuzi mpinzani mwingine akitoa hoja hawaitlii manani
UKWELI NI HUU;
SERIKALI IJAYO BILA SHAKA SERIKALI ITAKUA YA COALTION YA VYAMA, KWANI CUF IKISHINDA ZANZIBA,NA CHADEMA IKISHINDA TANGANYIKA THEN SERIKALI YA COALITION HAIKWEPEKI SASA NI BORA KAMBI RASMI YA UPINZANI IKAACHA UBAGUZI WA KUWABAGUA WAPINZANI WENZIO ILI ISIJE KUWA SHIDA BAADAE KAM KUTATOKEA SUALA LA SERIKALI YA COALITION
Hii hoja imekaa kiliberali zaidi...
Unakuwa na viongozi wezi wa wake za watu unadhani hawatakua wezi wa mali ya umma
kukosa mali ni bora kuliko kukosa akili
Waliberali pekee Afrika Mashariki ni Civic United Front,,,, hao uliowataja ni wa CONSERVATIVE wakati nyie CUF ni wa LIBERAL a.k.a WALIBERALI kwa kiswahili. Kama Maalim Seif aliwadanganya Liberal sio waliberali kawaingiza chaka, nyie CUF ni wa_liberal na waliberali wote duniani mnaamini katika ndoa za jinsia moja, useng*, ufirauni pamoja na usagaji.wanachama wa cdu huko ujerumani na kile cha kameroon ambapo mzee wetu slaa yuko huko saivi
Ukweli ndo huu cdm zanziba haikubaliki ila uchagani2
Hii hoja imekaa kiliberali zaidi...
Waliberali pekee Afrika Mashariki ni Civic United Front,,,, hao uliowataja ni wa CONSERVATIVE wakati nyie CUF ni wa LIBERAL a.k.a WALIBERALI kwa kiswahili. Kama Maalim Seif aliwadanganya Liberal sio waliberali kawaingiza chaka, nyie CUF ni wa_liberal na waliberali wote duniani mnaamini katika ndoa za jinsia moja, useng*, ufirauni pamoja na usagaji.
nani anamiliki na kuendesha danguro la bilicanas dsm ambalo ni kitovu cha ushoga na usagaji af mashariki? Ni mbo.w.e au?
Kitovu cha ushoga na usagaji ni Mombasa, Zanzibar na Tanga.
Club Bilicanas ni sehemu ya watu kwenda kupata burudani na starehe wakimaliza wanarudi makwao hakuna hata Guest House pale. Akili za Kiliberali hizo kufikiri Club na danguro ni kitu kimoja. Huko Pemba naona uelewa uko chini sana
Unakuwa na viongozi wezi wa wake za watu unadhani hawatakua wezi wa mali ya umma