The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,334
- 12,903
Nimekuwa nafuatilia TV siku especially jana na leo. Cha kushangaza pamoja na vita Tripoli bado kuna umeme na wala hakuna visingizio vya oh, mimi siyo Mungu kufanya mvua zinyeshe wala oh vita hivyo umeme hakuna.
Tumeona vilevile Egypt na Tunisia. Kweli nimeamini sisi tuna matatizo!!
Tumeona vilevile Egypt na Tunisia. Kweli nimeamini sisi tuna matatizo!!