Pamoja na vikwazo vyote lakini,,,,,,,Iran overtake israel in scientific research

Haya maneno huwa mnadanganyana kwenye kahawa.ndio tatizo letu waswahili

Trump alipowakomalia wasikanyage marekani si uliwaona walivyolalamika. Wanalilia kuruhusiwa kuingia nchi ya makafir USA, wanachoma bendera ya marekani halafu Trump anawakomalia wanapiga kelele, au nayo hiyo ni porojo. Wanafiki wakubwa nyie Iran bado saana. Leo depo leo Syria limepigwa tena na hao hao Israel na wamewaambia wakiweka kambi Syria ni kichapo hapo hapo na wamefanya kweli.
 
nimejaribu kugoogle israel car,ni kweli wanaunda car,lakini kwakweli ni masikitiko,yaani jamaa pesa yote inaishia kwenye silaha tu



Lugha isiwe shida. KIFUPI kutengeneza drone yenye uwezo wa kuchunguza na kufyatua mabomu warusi walikuwa wanatengeneza na kutumia za Israel kwa kibali au under licence. Yaani wao bado hawajawa wakali katika idara hiyo kama wa Israel. Iran wana vi drone vya kupiga piga picha vinapigwa sana na israel. Kwa hiyo Iran wako juu hata kwa Russia kwa mtazamo wako.

Kaaeni kimya ka hamjui kitu mnaonyesha mlivyokuwa mbumbumbu ktk mambo.

Wanatengeneza ndege zisizo na rubani washindwe kutengeneza vigari tu.

Google kichwa cha habari hiki upate habari yote.

Israeli Drones Will No Longer Be Manufactured in Russia. USA-imposed Embargo.

21 kwietnia 2016, 12:46
Juliusz Sabak
DOTYCZY:




DRONES RUSSIAN DEFENCE INDUSTRY REMOTELY PILOTED AIRCRAFT RUSSIAN UAV SYSTEMS RUSSIAN MINISTRY OF DEFENCE OUTPOST UAV RUSSIA ISRAEL
Russia will have to suspend the assembly processes related to the Outpost UAV systems, license manufactured domestically, with the license being granted by Israel Aerospace Industries. Despite the efforts made by the Russians, the goal of which was to prolong the cooperation agreement within that scope, the negotiation process was held up, and the existing memorandum was suspended, following a decision made by the Israeli Ministry of Defence.
 
Trump alipowakomalia wasikanyage marekani si uliwaona walivyolalamika. Wanalilia kuruhusiwa kuingia nchi ya makafir USA, wanachoma bendera ya marekani halafu Trump anawakomalia wanapiga kelele, au nayo hiyo ni porojo. Wanafiki wakubwa nyie Iran bado saana. Leo depo leo Syria limepigwa tena na hao hao Israel na wamewaambia wakiweka kambi Syria ni kichapo hapo hapo na wamefanya kweli.

Weka ushahidi hapa co unaongea tu
 
Weka ushahidi hapa co unaongea tu
Ushahidi umejaa google we search

Andika IRANIANS PROTEST TRUMP VISA BAN.

Kuhusu mkong'oto wa ghala la silaha la iran syria jana ipo CNN kila siku sasa kwasaba wewe unaangalia TBC1 tu search kwenye google au jpost.com website ya Israel au check ya syria.

Kama lugha haipandi usirudi tena kwangu
 
Ushahidi umejaa google we search

Andika IRANIANS PROTEST TRUMP VISA BAN.

Kuhusu mkong'oto wa ghala la silaha la iran syria jana ipo CNN kila siku sasa kwasaba wewe unaangalia TBC1 tu search kwenye google au jpost.com website ya Israel au check ya syria.

Kama lugha haipandi usirudi tena kwangu

Yani CNN!!!! na istoshe website ya israel!! Wote hao vibaraka unategemea kitachosemwa ni cha kweli!! Waafrika tuna tabu sana.
 
Yani CNN!!!! na istoshe website ya israel!! Wote hao vibaraka unategemea kitachosemwa ni cha kweli!! Waafrika tuna tabu sana.
Mjomba cheki Syria News askari wao 4 wameumia wanatslangaza syria wenyewe .
Ajabu wanasema wametungua hayo maroketi lakini hapo hapo ghala limechapwa na askari wao wameumia vibaya. Iran bado saaaana hamna kitu mnalizimisha vitu msivyovijua poleni sana
Yani CNN!!!! na istoshe website ya israel!! Wote hao vibaraka unategemea kitachosemwa ni cha kweli!! Waafrika tuna tabu san
 
Yani CNN!!!! na istoshe website ya israel!! Wote hao vibaraka unategemea kitachosemwa ni cha kweli!! Waafrika tuna tabu sana.

Yaani wamepata mjong'oto pamoja na mitambo mipya ya warusi. Ndege iliyobeba wa Iran na Hezbollah imekoswakoswa iliwahi kuruka. Na kichapo kitaendekea.
 
WENYEWE WANASEMA KAMA IRANI IKIACHIWA BILA YA VIKWAZO NDANI YA MIAKA 20 INAWEZA KUFIKIA LEVEL ZA JAPAN, NI TISHIO KUBWA SANA IKIACHIWA NDIO MAANA WANAIEKEA VIKWAZO, INAFIKIA MPAKA SASA ANATENGENEZA FIGHTER JETS ZAKE MAGARI YA KIVITA YA KISASA YAKE, BALLISTICS ZENYE UWEZO WA KUPIGA MASHARIKIYAKATI NA ULAYA YENYE UWEZO WA KUBEBA VICHWA VYA NUCLEARS, ANA S-300, ANA MIFUMO YAKE YA ANGA YA KUJILINDA MENGI AMBAYO ANAITENGENEZA MWENYEWE, KIUFUPI IRAN KABARIKIWA, TUNGEPIGWA VIKWAZO SISI MWAKA MMOJA TU TUNGEZIDI KUISOMA
Ukimtoa Russia na mizizi yake ndan ya Iran, Iran hana lolote lile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WANAITWA WENYE AKILI US NA ULAYA WANAWEKA VIKWAZO NA KUPIGA KELELE MIAKA 50 NYUMA WAKIPINGA MAENDELEO YA IRAN, WW ULIEKO MBAGALA UNAULIZA KWA VITU GANI WANAVYOZALISHA, BASI ITAKUA ATA HABARI MKUU HUFATILII , INGIA GOOGLE ALAF ANGALIA IRAN ANA MINERALS GANI AMBAZO ZINAWAUMIZA VICHWA WAZUNGU BUT WW MTZ UNAPINGA
Swali lililoulizwa na ulichojibu inaonyesha dish linasumbuliwa na upepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu anashindwa kutenganisha kugundua na kutengeneza mbona Jeshi letu wanatengeneza gari inaitwa nyumbu mwaka zaidi ya 10 sasa .

Na uganda M7 kazindua lake made in Uganda majuzi.

Tuambie Iran wamechamgia uvumbuzi gani hapa duniani katika fani za dawa kilimo mashine n.k ambao nchi nyingine wananufaika. we unaonyesha magari na mabasi na vitu vya kijeshi.

hapa jf tulia ukipost kitu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vikwazo vitawazuia kutengeneza sio kugundua. Vikwazo gsni vimewafanya washindwe kugundua ?

Ngoja ni google kama simu janja wamegundua makafir su wa Iran halafu nitarudi na mshindo nyuma (feed back)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom