Pamoja na utandawazi kuenea lakini bado kuna watu wananunua antivirus, windows, software za kwenye CD madukani

Scars

JF-Expert Member
Apr 8, 2017
43,967
104,341
Rafiki yangu kanunua kaspersky kwa 35k yenye MB300 halafu ina user wawili.

Anaamini kwamba antivirus za mtandaoni si salama jambo ambalo si kweli kwasababu hata hizo za kwenye CD zimetolewa huko huko kwenye mitandao

Sasa kanunua CD kafanya installation halafu sasa kwenye ku activate zile licence zinagoma so mchizi kapigwa

Technolojia inakua kila kukicha na saizi hatuko kwenye soko la CD tena kulinganisha na miaka ya nyuma. Na ndio maana PC latest hata mlango wa CD nowdays haziwekwi. Kama antivirus unataka kununua unaweza uka request licence kwenye official website ya antivirus husika tena kwa bei nzuri (japo mimi hii pia nayo sikubaliani nayo)

Nishajiwekea kiapo kwamba katika huu ulimwengu wa tech wenye manguli wakucheza na cracking software sitokuja kulipia software yeyote

Au hadi humu namo kuna watu wenye spirit hiyo ya kuamini bidhaa za kwenye maduka za mfumo wa CD ni bora zaidi na kuzidharau hizi za mtandaoni?
 
Kupigwa inategemea na yeye ana uzoefu gani kwenye ununuzi wa software, huenda CD aliyonunua Activation Keys zilikuwa mwisho wake wa kutumika ni 2020.

Last time kutumia software ya kwenye CD ilikuwa ni last year, nili-install Kaspersky Antivirus ambayo ilikuwa Activation Keys zake mwisho wa kutumika ni 2020.

Kwa software kama za Antivirus ni bora kutumia official packages kuliko cracks. Pia ununuzi wa CD ni salama zaidi kuliko kununua mtandaoni kwa wale wasio wazoefu na manunuzi na malipo ya mtandaoni, hii ni kwa usalama wa fedha zao pale wanapotumia details zao za bank.
 
Rafiki yangu kanunua kaspersky kwa 35k yenye MB300 halafu ina user wawili.

Anaamini kwamba antivirus za mtandaoni si salama jambo ambalo si kweli kwasababu hata hizo za kwenye CD zimetolewa huko huko kwenye mitandao

Sasa kanunua CD kafanya installation halafu sasa kwenye ku activate zile licence zinagoma so mchizi kapigwa

Technolojia inakua kila kukicha na saizi hatuko kwenye soko la CD tena kulinganisha na miaka ya nyuma. Na ndio maana PC latest hata mlango wa CD nowdays haziwekwi. Kama antivirus unataka kununua unaweza uka request licence kwenye official website ya antivirus husika tena kwa bei nzuri (japo mimi hii pia nayo sikubaliani nayo)

Nishajiwekea kiapo kwamba katika huu ulimwengu wa tech wenye manguli wakucheza na cracking software sitokuja kulipia software yeyote

Au hadi humu namo kuna watu wenye spirit hiyo ya kuamini bidhaa za kwenye maduka za mfumo wa CD ni bora zaidi na kuzidharau hizi za mtandaoni?
Software za kucrack siyo nzuri, mimi nikiwa na uwezo wa kununua software ambazo hazizidi 50 - 80$ nanunua tu, leo nimetoka kulipia software ya doodly 64$.
 
Kupigwa inategemea na yeye ana uzoefu gani kwenye ununuzi wa software, huenda CD aliyonunua Activation Keys zilikuwa mwisho wake wa kutumika ni 2020.

Last time kutumia software ya kwenye CD ilikuwa ni last year, nili-install Kaspersky Antivirus ambayo ilikuwa Activation Keys zake mwisho wa kutumika ni 2020.

Kwa software kama za Antivirus ni bora kutumia official packages kuliko cracks. Pia ununuzi wa CD ni salama zaidi kuliko kununua mtandaoni kwa wale wasio wazoefu na manunuzi na malipo ya mtandaoni, hii ni kwa usalama wa fedha zao pale wanapotumia details zao za bank.
CD kwenye cover imeandikwa 2020-2021 lakini code licence hazikubali nadhani hii ilikua target mwezi wa 12 mwaka jana halafu ije ifikie kikomo mwezi huu

mimi sikumbuki mara ya mwisho kununua hizo CD ilikua lini, hapa nina kaspersky ya mwaka mzima na inapiga kazi fresh haijawahi kuzingua na huu ni mwaka saizi tangu niitumie

kwangu mimi mzee crack nimezipa kipaumbele sana na bado nazipa immunity kua ni salama (talking from my personal experience) mfano kama windows nimekua nikipakua online na hazijawahi niletea makuzi lakini nilishangaa siku oja niliazima CD ya windows kwa msela nilivyopiga baada yamiezi miwili ikawa inaniletea black screen (windows is not genuine)
 
Rafiki yangu kanunua kaspersky kwa 35k yenye MB300 halafu ina user wawili.

Anaamini kwamba antivirus za mtandaoni si salama jambo ambalo si kweli kwasababu hata hizo za kwenye CD zimetolewa huko huko kwenye mitandao

Sasa kanunua CD kafanya installation halafu sasa kwenye ku activate zile licence zinagoma so mchizi kapigwa

Technolojia inakua kila kukicha na saizi hatuko kwenye soko la CD tena kulinganisha na miaka ya nyuma. Na ndio maana PC latest hata mlango wa CD nowdays haziwekwi. Kama antivirus unataka kununua unaweza uka request licence kwenye official website ya antivirus husika tena kwa bei nzuri (japo mimi hii pia nayo sikubaliani nayo)

Nishajiwekea kiapo kwamba katika huu ulimwengu wa tech wenye manguli wakucheza na cracking software sitokuja kulipia software yeyote

Au hadi humu namo kuna watu wenye spirit hiyo ya kuamini bidhaa za kwenye maduka za mfumo wa CD ni bora zaidi na kuzidharau hizi za mtandaoni?
Kuna watu bado wananunua nyimbo 500 za audio na 1000 za video
 
Unachanganya kati ya umasikini na utandawazi, nyie bongo hamnunui original software ni kwa sababu masikini torrent zinawaokoa.



USA simu yako ama laptop maafisa wakiikutwa na torrent app mzee Miez 6 inakuhusu Jela, No bail.
huko torrent unatumia freebasics ku downloads hizo software?
 
natumia Kaspersky Pure 3.0 kwa miaka sasa, natumia trial ya 30-days ikiisha natumia resetter program , inaanza trial upya

software pekee nimewahi nunua ni Connectify, ilikua $50 kitambo icho , kwa licence ya lifetime
hapo ukishakua na KRT CLUB mchezo kwisha, unaipelekesha kaspersky unavyotaka wewe

mimi nilitaka siku moja kulipia resseter adjustment ya epson baada ya kuitafuta full vrsion kwa muda mrefu bila kuipata. lakini siku hiyo baada ya kupiga misele kwenye chocho za crackers nikakutana na ma crackers hao wana balaa, mpaka leo naitumia
 
Kutumia cracked softs inategemeana na ni nini unachoifanyia hiyo PC yako.

Kwa mfano mtu anayeitumia PC yake kwa kuhifadhia mambo yake ya "muhimu" sana au mambo ya kifedha huwa anaepuka kutumia cracks.

Na akitumia cracks baada ya kushindwa kabisa kumudu gharama za kununua genuine software, basi huwa haendekezi cracks.

Lakini kama PC inatumika kwa mambo ya kawaida tu, wewe jaza hayo macracks.

Siyo kwamba situmii Cracks "No!" Ila ndivyo ilivyo.

NB: Kulingana na makala mbalimbali nilizowahi kupitia kuhusu kama cracks ni salama,

Niligundua kwamba kuna baadhi ya cracks hufanya kile mtengenezaji wake alichokusudia hiyo crack ifanye na kuna cracks zingine huonekana kutatua hitaji lako huku zikilenga pia kufanya uharibifu au kufanya vitu vingine ambavyo si vizuri ndani ya PC yako.

Ushauri: Kama unajiweza kiuchumi uwe na PC mbili. Moja inayotumia hayo macracks na ya pili iwe na software za kawaida.

Au PC yako iwe na "Dual OS"

Mimi hutumia hayo ma-cracks kwenye Windows 10.
Na LinuxMint naitumia kwa ajili ya Internet surfing na kuingia kwenye accounts zangu muhimu za internet maana siyo websites zote ni mobile phone friendly.


Sent from my cupboard using mug
 
Kiongozi naitaji hip resseter software... Kama hutojali
1612279836069.png
1612279836069.png


server za jf hazi support rar files
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom